Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Hahaaaaaa uzalendo kweli kweli ndo huo wa kuendekeza vigodoro ndo ujanja huo. Ndo hao wanaojaa kwenye page ya Davido kutukana ndo uzalendo wao hao.
Uzalendo wa maneno tu. Mi napenda ule uzalendo wa Nyerere sasa hakuna mzalendo loh.
Kuvamia vamia kila kitu na kukurupuka ndio wanajua, aiseee i can seee the bi difference btn this family n other dudes kwakweli, embe haidondoki mbali na mwembe ujue!!! Okey kwakuwa hapa ni mtakuja na hamuwezi kujizua as mtaumwa, basi karibuni sn, tutafanyaje ss na ndio watanzania wenzetu ngoja tu tuwe wazalendo tuwavumilie mayb 1day watajitambua😉😉