Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa atoto umesikiaa? Ujue roho inaniuma sana napita na peterchoka njian anageuka nyuma anakuangalia alafu anakusifia na mimi nipo.
Ila sio mbaya.
#onelovepeterchokahuainatokeatuu

Hahahaaaa!! Nilisoma nikagundua tu kajichanganya nami nikajifanya sijaona, usione wivu mamii ukiona hivyo ujue yaliyomo yamo, km majirani vile ambavyo Kiba hawakauki midomoni.
 
Last edited by a moderator:
Very true i do appreciate him kwa kweli hana mambo ya ajabu yani u can even argue with him.
I do respect him na siku zote hu comment vtu vilivyo enda shule. That's a real man anavotakiwa kuwa.

Kudos to my mtani jamani, for ze mata of fwakti ni kwambaaa mtani wangu anajitambua u konow(in mjuni's voice)
 
ALIKIBA AKANUSHA
・・・
Sijamponda Diamond, waandishi wananiwekea maneno mdomoni – Alikiba >>>>>>> Alikiba ameelezea kusikitishwa kwake na taarifa iliyosambaa kuwa alitoa kauli dhidi ya Diamond kuwa anajisikia kichefuchefu kila akimsikia msanii huyo. Akizungumza na Bongo5 jana, Alikiba alisema hata watu wake wa karibu wanajua hawezi kufanya jambo kama hilo. “Hiyo mimi nimeisoma juzi na mwenyewe sijaifurahia. Vilevile na kibaya zaidi inaonesha eti kwamba mimi nimesema nikimsikia Diamond najisikia kichefuchefu, mimi namchukia Diamond,” amesema. “Yaani kwa uelewa wangu na akili yangu timamu hata watu wanaonielewa mimi hata uwezo wa kusema hivyo sina na siwezi, kibinadamu haipendezi. Halafu huyu mwandishi aliyeandika hivi anamaanisha kabisa anapenda huu uchochezi ulipo na mabifubifu na mateam team yanayoendelea ilimradi nionekane mimi na sura mbaya katika jamii. Kwa sababu hicho kitu ni cha kutukosanisha. Huwezi kuniandika mimi nimesema live halafu kulikuwa na waandishi wengine wakati nahojiwa mbona hao waandishi wengine hawakuandika hivyo?” amehoji Kiba. “Ushahidi wa sauti upo bana, sio kwamba unakwenda unaandika habari tofauti ilimradi nionekane mimi ni mbaya mbele ya watu. Mimi hicho kitendo kimeniudhi na sijakipenda, sijakifurahia na hii inakuwa inashusha hadhi ya kampuni kwa sababu siku nyingine watu wanavyotaka habari tutaonyesha ushirikiano mdogo kwa sababu ya vitu kama hivyo. Watu wanaalikwa vizuri kufanya kazi ili kuwafikishia wananchi habari lakini habari zinazokwenda ni tofauti. Hii haipendezi na sijafurahishwa nayo na nimesikia watu wanatukana sana wanaongea comment tofauti tofauti.” alisema KIBA.

Chanzo; Bongo5
musamateja musamateja
acha kumchafua msanii wetu kwa ujinga wako wa kuuza magazeti alafu mnasema mnataka uzalendo wakati huku nyie watu wa media mnazidi kuwachonganishaaa mjinga ww
CC Freeland na wakukurupuka wote
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli nahamu na huo wimbo sana tu tena akianza Christian Bella na ile sauti yake uwiiii ngachoka na kiba pale ndo usiseme. Sijui watautoa lini.
Hakunaga ka Kiba na Bella kwenye sauti. Mtu wao sauti huwa haitoki kila wimbo anahemea ndani kwa ndani hata haeleweki.

Bella aisee anajua sana, his songs hazichoshi kusikiliza sasa akikutana na fundi jamani si itakuwa balaa hili
 

Attachments

  • 1435158992317.jpg
    1435158992317.jpg
    87.4 KB · Views: 57
Hahaaaaaa cute b mbona na wewe umeniua na aiiiiiiiii wimbo mzima hauna maana yoyote. Teh teh teh aiiii anavuta pumzi you know chezeiya le kuhemaz kama bataz plasi ujanja ujanja.

Hahahaaaa pumzi zero pale.
Kuimba kipaji bhana.... aiii sankoro. Hahahaaaa kwan lazima kuweka ivyo?
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh nikulete Uganda &Tandale....Ã-Â-½Ã-º™Ã-Â-½Ã-º™Ã-Â-½Ã-º™Ã-Â-½Ã-º™

Hahahaaaaaaa!! Mtani hunitakii mema wewe, si nitaumwa magonjwa yasiyojulikana, mwenzio daktari wangu Kiba
 
cute b huyo muhandishi haoni aibu hata ka mtu hupatani naye huwezi kusema hayo maneno hadharani. Aibu yake watuachie Kiba wetu. Jitu zima linataka kugombanisha wasanii.
Bora kiba kakanusha
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa!! Nilisoma nikagundua tu kajichanganya nami nikajifanya sijaona, usione wivu mamii ukiona hivyo ujue yaliyomo yamo, km majirani vile ambavyo Kiba hawakauki midomoni.

Hahahaaa tena umenikumbusha kukugea ubuyuu wa.... nazani utakua umemwelewa wa kule kwenye uzzi wa watu tuliouvamia.
Ila soma kwanza iyo ya king api chin
 
cute b huyo muhandishi haoni aibu hata ka mtu hupatani naye huwezi kusema hayo maneno hadharani. Aibu yake watuachie Kiba wetu. Jitu zima linataka kugombanisha wasanii.
Bora kiba kakanusha

Alikuwa anataka kiki tuu. Si ndio ata mimi nikashangaa coz le king sio mropokaji ata siku moja.
Na pia nimefuatilia interview nyingi za kiba huwa hapendi kuongelea kuhusu domo kabisa.
Nazani anajitahidigi kuepusha makuu
 
Last edited by a moderator:
cute b unajua hata wao walishadadia tu ila wanajua kabisaaa ktk mioyo yao King hawezi kutamka hivyo, kuna mtu nakumbuka alikurupuka akajichetua eti "kiba namjua na hayo maneno hayajaongezwa chochote", mazafantaz zake, angekuwa anamjua angejua kuwa Kiba hawezi tamka hayo, ila akataka kumchafua tu,

#mtashindanalakinihamtashinda in mzee wa upakoz voice
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa tena umenikumbusha kukugea ubuyuu wa.... nazani utakua umemwelewa wa kule kwenye uzzi wa watu tuliouvamia.
Ila soma kwanza iyo ya king api chin

Huo wa King nishausoma, huo hata mwendawazimu angejua tu kuwa huo ni uzushi, ila zero brain waliuvamia kwa mbwembwe haooo yaani ile siku niliwahurumiaaa!!
 
cute b unajua hata wao walishadadia tu ila wanajua kabisaaa ktk mioyo yao King hawezi kutamka hivyo, kuna mtu nakumbuka alikurupuka akajichetua eti "kiba namjua na hayo maneno hayajaongezwa chochote", mazafantaz zake, angekuwa anamjua angejua kuwa Kiba hawezi tamka hayo, ila akataka kumchafua tu,

#mtashindanalakinihamtashinda in mzee wa upakoz voice

Walibwabwaja apa kama wanakufa kesho aya leo waongee tena. Wanatafuta bifu na kiba wameshindwa sasa wamehamia kwenye kampuni.
Aiii.... watashindana lakin hawatashinda.
 
Last edited by a moderator:
Walibwabwaja apa kama wanakufa kesho aya leo waongee tena. Wanatafuta bifu na kiba wameshindwa sasa wamehamia kwenye kampuni.
Aiii.... watashindana lakin hawatashinda.

Tena washindweeeeee, duuuh nimeingiwa na upako ghafla.
 
Back
Top Bottom