Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Hahaaaaa nililigundua hilo sema nikaamua kunyuti
Last edited by a moderator:
Mtani sitaki
Waache wamuongelee watamuongelea nani sasa, kuna siku eti walikuwa wanajipamba eti wakimuongelea Kiba wanampa kiki wakaambiana kutomuongelea Kiba tena, uwiii wakajisahau kuwa Kiba ni maji wanamnywa,kumpikia,kumuogea n.k kilaaaaaa siku lazima wamuongelee na kumfungulia nyuzi zisizo na miguu wala kichwa, hahahaaaa nicheke mie maana bandama ninayo.
Si walisema kiba anaangaika na tembo ndomo yupo studio?
Sasa leo imemalizika.
Walizani kiba ni mtu wa shoo of kila anachofanya apost.
Leo mashavu yamewashukaaa loooo
Bora kiba ni #Ambasodor wa Tembo ku campaign wasiangamizwe for our nation na future generation kuwakuta. Mineno ya mkosaji tu hyo.
Yani hyo collabo na Christian Bela itakua kiboko wote wana sauti mzuri balaaa. I love their voices I can't wait aisee huo wimbo.
#CongratulationsKibaandChristianBella .
Wavulana hao mamy hujakosea mwanaume ni mtani wako pekee ndo anatumia akili ila wengine hamna kitu
Kwakweli kuna mambo yanachosha mno!
Yaan wote sauti tamu na mtaa wa pili wanaelewa ndo maana nyuso zimewashuka yani.
Kiba hajapumzika bado anatupikia mahanjumati.
Teh Teh mtani natamani nikuhamishe sema we mbishi kama una Phd ya ubishi.....
Hahahaaaaa!! Unihamishie wapi tena mtani jamani?
Very true i do appreciate him kwa kweli hana mambo ya ajabu yani u can even argue with him.
I do respect him na siku zote hu comment vtu vilivyo enda shule. That's a real man anavotakiwa kuwa.
Kwa kweli nahamu na huo wimbo sana tu tena akianza Christian Bella na ile sauti yake uwiiii ngachoka na kiba pale ndo usiseme. Sijui watautoa lini.
Hakunaga ka Kiba na Bella kwenye sauti. Mtu wao sauti huwa haitoki kila wimbo anahemea ndani kwa ndani hata haeleweki.
Yaan mamy kwa hao majirani Ruttashobolwa tuu tuuu unaelewa maana ya tuu? Ndo anayeelewa ushabiki ni nini.
Wengine hawataki watu wapende wanavyovitaka wanajenga chuki tuu
Hahahaaaaa dia umeniua kwa kicheko.
Mtu wao anachokijua ni kila wimbo kusema aiii...aiii...aiii sasa sielewi ndo anakuaga anavuta pumzi au ni nini.
Watu wanachukulia ushabiki too personal sana tu. Kwa wengine waelewa hushindana kwa hoja wengine wamezoea vigodoro.
#ladypeacemaker .
Wataogea acid mwaka huu. Apo nyongo zinawapanda maana wapo apa wanafatilia kila tunacho andika duu kuna watu hawana kazi kwel
Bora kiba ni #Ambasodor wa Tembo ku campaign wasiangamizwe for our nation na future generation kuwakuta. Mineno ya mkosaji tu hyo.
Yani hyo collabo na Christian Bela itakua kiboko wote wana sauti mzuri balaaa. I love their voices I can't wait aisee huo wimbo.
#CongratulationsKibaandChristianBella .