Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jaman kiba fans nawashauri. Usipoteze muda wa ku argue na wajinga ambao shule kwao hawaijui.. ni ma jobless...wanao kaa kung'aa ng'aaa kuangalia tumepost nini. Kuna option tuu ya ku ignore kwa nini mtu akuletee mambo ya facebook na wakati huku ni kwa watu wazima?
One love wote mnaomsaport king kiba.
Vyupa vinawahusu wanafiki wote na mnaovizia vizia huku fanya ivii...
1-Chukua chupa yoyote ya kioo lakini maana mlivyo ma bogaz mnaeza mkachukua za maji ya uhai.
2-chukua nyundo au jiwe na weka chupa yako sehemu nzuri.
3-ipasue isage sage adi iwe chenga chenga.
4- Kama una hasira sana unaweza ukai bwia kwavu kavu ila kama unaumia ndani kwa ndani unaweza ukaikologa halafu ukanywa taaratibu.
Cc#wanafikiwote #wakekwawaume .
Ha ha ha watu wanaijua ignore list kabla we hujaijua jf ni nini....ha ha ha siku nikiwa na mood ya kichokozi ndo kama hivi yani naquote tu hata ukinuna naquote tu....
 
Jaman kiba fans nawashauri. Usipoteze muda wa ku argue na wajinga ambao shule kwao hawaijui.. ni ma jobless...wanao kaa kung'aa ng'aaa kuangalia tumepost nini. Kuna option tuu ya ku ignore kwa nini mtu akuletee mambo ya facebook na wakati huku ni kwa watu wazima?
One love wote mnaomsaport king kiba.
Vyupa vinawahusu wanafiki wote na mnaovizia vizia huku fanya ivii...
1-Chukua chupa yoyote ya kioo lakini maana mlivyo ma bogaz mnaeza mkachukua za maji ya uhai.
2-chukua nyundo au jiwe na weka chupa yako sehemu nzuri.
3-ipasue isage sage adi iwe chenga chenga.
4- Kama una hasira sana unaweza ukai bwia kwavu kavu ila kama unaumia ndani kwa ndani unaweza ukaikologa halafu ukanywa taaratibu.
Cc#wanafikiwote #wakekwawaume .

cant you stop this my babe cute b?
 
Last edited by a moderator:
Mimi sio mnafiki...labda umechanganya mimi sikuwa nasema sio fair kuvote kwa davido au nini

Ishu yangu ilikuwa kuwa kwa manufaa ya muziki sio vema ku entertain uadui kati ya wasanii wetu wenyewe

By the way...Kwa leo nimeamua ku himiza kupigiwa kura kwa Davido kwa sababu muziki wake ni mzuri

Lakini nimeongea kistaarabu kabisa bila kutukana wala kukashifu mtu yeyote..Tofauti kabisa na reaction yako iliyokuja na matusi na kukashifu

Inaitwa read btn lines, jiheshimu utaheshimiwa
 
Hahahaaaa shoga nilishasikia harufu ya ban nikaona nifanye tuu kazi maana naanzaje kukosa jf kwa ajili ya fool? Akaa mi mwerevu banaa nimemgea CASH nikamwacha anazihesabu nikapita hivii.
CHA MUHIMU CASH YAKE KAIPATA

Tena funika kombe mwanaharamu apite.
Yaani mtu ukifanya kumuavoid eti imekuwa unamuogopa hahahaaaa!

Honestly huna haja ya kujibizana na mtu kila siku sometimes you have to let them be.
 
Heloooow lovely family, missed you guys, kwani nini kinaendelea? Mbona mamluki wengi humu? Mmewashika wapi mpaka watapetape hiviiiiii!!! cute b plzzzzzz!!
 
Last edited by a moderator:
Apo chacha!!
aaah mwenzangu na watupisheeee!!

Tena kama mie anaeniquote kwa upuuzi wake anajisumbua tu namuona data amekazana hapo masikini loooh bora akaandae futari tu!

Best option ni kumu ignore tu mtu anayetafta ugomvi sasa kumshabikia Kiba napo kosa. Its so shame kwa kweli watu wazma kabisa.
Mi ndo aki quote Mpaka achoke anapoteza mda wake stress zao hatutaki kwenye Uzi special kwa Kiba.
 
Last edited by a moderator:
Heloooow lovely family, missed you guys, kwani nini kinaendelea? Mbona mamluki wengi humu? Mmewashika wapi mpaka watapetape hiviiiiii!!! cute b plzzzzzz!!

Teh teh teh teh mamluki uzalendo umewashinda wanataka kutuharibia Uzi wetu waende kwenye Uzi wao special buuuuuaaana kutofautiana mawazo sio vta buaaaasna.
 
Last edited by a moderator:
Tena funika kombe mwanaharamu apite.
Yaani mtu ukifanya kumuavoid eti imekuwa unamuogopa hahahaaaa!

Honestly huna haja ya kujibizana na mtu kila siku sometimes you have to let them be.
Karibu, jimwage kwa mkeka.....subiri futari
ananiogopa vibaya mnooo kuna day nlikoment kokoriko akaja huku kusema naona wanawika yes it was me,nimelike post ya m.s Lincoln akateta oooh kalike hajaelewa yes ananisema mie sa kama haniogopi why aongee kipembeni?
ananiogopa ananiogopa mnooo #nokuogopaatall comment zozote za hapa ntaquote as long as nipo interested ndo hivo yani
 
Tena funika kombe mwanaharamu apite.
Yaani mtu ukifanya kumuavoid eti imekuwa unamuogopa hahahaaaa!

Honestly huna haja ya kujibizana na mtu kila siku sometimes you have to let them be.

All they know ni chokochoko na matusi, i just cant find a perfect name to call these dudes, hata siwezi tofautisha mwanamke na mwanaume, wanaojitambua hata watatu cdhani km wanafika, hivi shule zinafungua lini warudi shule(u know wht i mean), ignore ignore ignore ignore.
 
Nipo sana huu uzi hadi tuzo ziishe yani nipo sana....na msiogope kuniquote usioongee kipembeni say no to uoga!!!!
 
Ndio uzalendo gani sasa huu wa kuwafanyia fujo watanzania wenzao?? Hebu kuweni wazalendo bwana

Hahaaaaaa uzalendo kweli kweli ndo huo wa kuendekeza vigodoro ndo ujanja huo. Ndo hao wanaojaa kwenye page ya Davido kutukana ndo uzalendo wao hao.
Uzalendo wa maneno tu. Mi napenda ule uzalendo wa Nyerere sasa hakuna mzalendo loh.
 
Hahahaaaa mingine hadi inatia huruma yaani, duuuuh stress zingine mbaya jamani, i love this family jamani, ama kweli kizuri chajiuza.

Tena watu wazima kabisa bora ingekua tenaja wengine wanakimbilia uzeeni.
Yani watu wazima kabisa hata haya hamna bora hata wanawake mijianaume mizima sasa inashangaza kabisa so shame kwa kweli😱😱😎
 
Back
Top Bottom