Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Sijawahi kuwa shabiki wa team yyte ya hawa madogo, wala sijawahi kuchangia uzi wowote wa hawa jamaa, Leo ndio naanza, kwangu mimi Diamond yuko mbali sana huyu kijana bado sana kumfikia, aongeze juhudi tu lakini kuvimba kichwa kwa zile tuzo zenye utata atakuwa hajajitambua,
Kwa Tz sasa hayupo kama diamond wala anaemkaribia hayupo huo ndio ukweli mchungu
 
...

VIPI KUHUSU YEYE NA WEMA?

"Wema amekuwa ni shabiki wangu wa siku nyingi mno, alianza kunipenda kupitia wimbo wangu wa Hands Across the World (kwenye Project ya One-Eight) na kuanzia hapo amekuwa akinipa sapoti kubwa sana, siwezi kukaa naye mbali eti kisa huyo jamaa (Diamond)...

Kumbe wimbo ulikuwa wa King Kibaka!! Sikujua hilo kabla. Hii inanikumbusha jamaa yangu Mphamvu alivyonidanganya eti kwenye huo wimbo Kiba alikuwa anamuimbisha R. Kelly, kwamba Kelly alikuwa anamsikiliza Kiba aimbe nini.
 
Last edited by a moderator:
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul Diamond Platnumz, Ijumaa Wikienda lina full stori.



Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba.

TUJIUNGE ENEO LA TUKIO


Ali Kiba alitema cheche Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Hoteli ya Sea Cliff, Masaki jijini Dar, kulikokuwa na uzinduzi wa kampeni ya kupinga vita ujangili, iliyoratibiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, huku akiwa ni mmoja wa mabalozi sanjari na mlimbwende wa zamani, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi K-Lyin.



Nasibu Abdul Diamond Platnumz.

USO KWA USO NA PAPARAZI


Baada ya shamrashamra za event hiyo, haraka sana kama mshale wa Mmakonde, mwandishi wetu alimfuata Ali Kiba, lengo kuu likiwa ni kusikia chochote juu ya ushindi wa Tuzo za Kili ambapo alizoa tano binafsi na moja ya kushirikishwa.
Kiba alisema anaamini alistahili kushinda tuzo zote kwani vigezo na sifa anazo na amejiandaa kikamilifu kupambana na yeyote anayedhani kuwa ni mfalme wa muziki huo.


JINA LA DIAMOND LAMCHEFUA!


Katika mahojiano hayo, mwandishi wetu alimkumbusha Ali Kiba uwepo wa Diamond ambapo kwa haraka sana alimkata kauli mwandishi kwa kusonya na kuweka wazi kuwa miongoni mwa mambo ambayo humpa kichefuchefu, ni pamoja na kusikia jina la Diamond likitajwa mahali popote penye uwepo wake!


Kaka, sitaki kabisa kulisikia jina hilo, linanipa kichefuchefu, unajua kwa kipindi ambacho nilikaa kimya, nilikuwa nausoma mchezo lakini hakuna aliyeweza kuchukua kiti changu na kuamua kurejea ulingoni kwa kishindo na kuanzia sasa hivi ni mapambano mwendo mdundo, alisema Kiba na kuongeza:


Simaanishi kuwa hakuna msanii mzuri kama mimi, naomba nisieleweke vibaya, wapo lakini siyo huyo dogo (Diamond), muziki ni zaidi ya mbwembwe, niko kikazi na sasa nimedhamiria kweli, kama anaamini yuko fiti, kazi zitaweka wazi ukweli na si drama za kitoto.


VIPI KUHUSU YEYE NA WEMA?
Mwandishi wetu alitaka kujua kulikoni msanii huyo alimuweka Wema Sepetu kwenye ukurasa wake wa Instagram akimmwagia shukrani lukuki na si mtu mwingine?


Wema amekuwa ni shabiki wangu wa siku nyingi mno, alianza kunipenda kupitia wimbo wangu wa Hands Across the World (kwenye Project ya One-Eight) na kuanzia hapo amekuwa akinipa sapoti kubwa sana, siwezi kukaa naye mbali eti kisa huyo jamaa (Diamond).


Naamini kwa asilimia nyingi sana hata huu ushindi wangu wa tuzo, umechangiwa na sapoti yake pamoja na wadau wangu wengine, alisema Kiba.


AFUNGUKA KUHUSU VIDEO YA MWANA!
Pia, mwandishi wetu alimtaka staa huyo kufafanua madai ya kutoitendea haki video ya Wimbo wa Mwana, ambapo alisema, watu wengi walitarajia aifanye kulingana na mawazo yao ndiyo maana akaamua afanye vile anavyoaamini ingekuwa bora.

Kila mtu alikuwa ameshatengeneza picha ya jinsi video ya wimbo itakavyokuwa, halafu sifanyi kazi kwa kushindana na mtu, ndiyo maana ilionekana tofauti na mawazo ya wengi, namalizia kwa kusema salamu zimfikie jamaa (Diamond) kuwa mapambano ndiyo kwanza yameanza, alisema Kiba.

DIAMOND ANASEMAJE?


Hadi tunakwenda mitamboni, jitihada za kumpata Diamond aweze kuzungumzia vita hiyo iliyofufuka upya hazikuzaa matunda kufuatia simu ya staa huyo aliyekuwa nchini Afrika Kusini kikazi, kuita bila majibu.
TUJIKUMBUSHE
Kwa muda mrefu sasa, Kiba na Diamond wamekuwa wakiripotiwa kuwa na bifu la chini kwa chini linalotokana kugombania ufalme wa muziki Bongo.

Kwa hisani Ya Global Publishers

Kwa wanaomfahamu Kiba hapa halijaongezwa ata neno moja. Jeuri kiburi na kujiona ndio vina Endelea kumponza.
 
Ananijitekenya na kujijambisha mwenyewe lazima amchukie Daimond Kwan hatujui Hilo sio geniii,hasira zake za kukosa pesa ya kumalizia video ya cheketua asmmalizie Daimond,atakunya huku kasimama shenziiiiiiiii!;;;;;!!!!!!

Huwezi kushindana na mtu kwa single moja kwa mwaka, huyu mtoto anaumwa mavi.

Mwanamuziki ni yule mwenye uwezo wa kuandaa show na kucheza kwa saa 5 mfululizo bila kuishiwa nyimbo.

Siku zote nimesahau kufuatilia kitu muhimu kabla ya kuhukumu, naomba yeyote anayefahamu education background ya Ally Kiba atuwekee hapa maana inawezekana kuna watu huwa tunawaonea bure kumbe tatizo lipo wazi.
 
Kwa wanaomfahamu Kiba hapa halijaongezwa ata neno moja. Jeuri kiburi na kujiona ndio vina Endelea kumponza.

Hivi Christian Bella super vocalist angepata support kama aliyopewa huyu dogo nadhani kwenye hizi tuzo za kimataifa zote angekuwepo, kweli mcheza kwao utunzwa Bella Ucongo wake ndio umemponza.

I wish Banana zorro arudi kwenye muziki wa ushindani.
 
Huwezi kushindana na mtu kwa single moja kwa mwaka, huyu mtoto anaumwa mavi.

Mwanamuziki ni yule mwenye uwezo wa kuandaa show na kucheza kwa saa 5 mfululizo bila kuishiwa nyimbo.

Siku zote nimesahau kufuatilia kitu muhimu kabla ya kuhukumu, naomba yeyote anayefahamu education background ya Ally Kiba atuwekee hapa maana inawezekana kuna watu huwa tunawaonea bure kumbe tatizo lipo wazi.
Moyo wangu ti ti tiiiiii unakimbiaaaaaaa
 
Moyo wangu ti ti tiiiiii unakimbiaaaaaaa

Moyo wako unakwenda wapi? Mjifunze toka kwangu Diamond naye akifanya ushuzi mnatakiwa kumpa makavu, nimegunduwa sisi ndio tunawapoteza hawa watoto.

Umeona mashabiki wa Taifa stars walichokifanya? Si kina Malinzi walikuwa jeuri?
 
Moyo wako unakwenda wapi? Mjifunze toka kwangu Diamond naye akifanya ushuzi mnatakiwa kumpa makavu, nimegunduwa sisi ndio tunawapoteza hawa watoto.

Umeona mashabiki wa Taifa stars walichokifanya? Si kina Malinzi walikuwa jeuri?
Mi mbona nampa sana jamani hasa hasa la kutoka na mganda ndo nalitilia mkazo make hilo ndo haswa kubwa linalofanya wanawake tumchukie ha ha ha
 
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.



Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba.

TUJIUNGE ENEO LA TUKIO


Ali Kiba alitema cheche Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Hoteli ya Sea Cliff, Masaki jijini Dar, kulikokuwa na uzinduzi wa kampeni ya kupinga vita ujangili, iliyoratibiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, huku akiwa ni mmoja wa mabalozi sanjari na mlimbwende wa zamani, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ‘K-Lyin’.



Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz.

USO KWA USO NA PAPARAZI


Baada ya shamrashamra za ‘event’ hiyo, haraka sana kama mshale wa Mmakonde, mwandishi wetu alimfuata Ali Kiba, lengo kuu likiwa ni kusikia chochote juu ya ushindi wa Tuzo za Kili ambapo alizoa tano binafsi na moja ya kushirikishwa.
Kiba alisema anaamini alistahili kushinda tuzo zote kwani vigezo na sifa anazo na amejiandaa kikamilifu kupambana na yeyote anayedhani kuwa ni mfalme wa muziki huo.


JINA LA DIAMOND LAMCHEFUA!


Katika mahojiano hayo, mwandishi wetu alimkumbusha Ali Kiba uwepo wa Diamond ambapo kwa haraka sana alimkata kauli mwandishi kwa kusonya na kuweka wazi kuwa miongoni mwa mambo ambayo humpa kichefuchefu, ni pamoja na kusikia jina la Diamond likitajwa mahali popote penye uwepo wake!


“Kaka, sitaki kabisa kulisikia jina hilo, linanipa kichefuchefu, unajua kwa kipindi ambacho nilikaa kimya, nilikuwa nausoma mchezo lakini hakuna aliyeweza kuchukua kiti changu na kuamua kurejea ulingoni kwa kishindo na kuanzia sasa hivi ni mapambano mwendo mdundo,” alisema Kiba na kuongeza:


“Simaanishi kuwa hakuna msanii mzuri kama mimi, naomba nisieleweke vibaya, wapo lakini siyo huyo dogo (Diamond), muziki ni zaidi ya mbwembwe, niko kikazi na sasa nimedhamiria kweli, kama anaamini yuko fiti, kazi zitaweka wazi ukweli na si drama za kitoto.”


VIPI KUHUSU YEYE NA WEMA?
Mwandishi wetu alitaka kujua kulikoni msanii huyo alimuweka Wema Sepetu kwenye ukurasa wake wa Instagram akimmwagia shukrani lukuki na si mtu mwingine?


“Wema amekuwa ni shabiki wangu wa siku nyingi mno, alianza kunipenda kupitia wimbo wangu wa Hands Across the World (kwenye Project ya One-Eight) na kuanzia hapo amekuwa akinipa sapoti kubwa sana, siwezi kukaa naye mbali eti kisa huyo jamaa (Diamond).


“Naamini kwa asilimia nyingi sana hata huu ushindi wangu wa tuzo, umechangiwa na sapoti yake pamoja na wadau wangu wengine,” alisema Kiba.


AFUNGUKA KUHUSU VIDEO YA MWANA!
Pia, mwandishi wetu alimtaka staa huyo kufafanua madai ya kutoitendea haki video ya Wimbo wa Mwana, ambapo alisema, watu wengi walitarajia aifanye kulingana na mawazo yao ndiyo maana akaamua afanye vile anavyoaamini ingekuwa bora.

“Kila mtu alikuwa ameshatengeneza picha ya jinsi video ya wimbo itakavyokuwa, halafu sifanyi kazi kwa kushindana na mtu, ndiyo maana ilionekana tofauti na mawazo ya wengi, namalizia kwa kusema salamu zimfikie jamaa (Diamond) kuwa mapambano ndiyo kwanza yameanza,” alisema Kiba.

DIAMOND ANASEMAJE?


Hadi tunakwenda mitamboni, jitihada za kumpata Diamond aweze kuzungumzia vita hiyo iliyofufuka upya hazikuzaa matunda kufuatia simu ya staa huyo aliyekuwa nchini Afrika Kusini kikazi, kuita bila majibu.
TUJIKUMBUSHE
Kwa muda mrefu sasa, Kiba na Diamond wamekuwa wakiripotiwa kuwa na bifu la chini kwa chini linalotokana kugombania ufalme wa muziki Bongo.

Kwa hisani Ya Global Publishers

Sijawahi kumsikia diamond anaongea shombo kama hizi kwa Alli,ila kwa ushahidi huu wa global (kama ni kweli) huyu Kiba haki ya Mungu hawezi kufika mbali kimuziki ataishia hapo hapo kariakoo.mamaaeee!
 
Sijawahi kumsikia diamond anaongea shombo kama hizi kwa Alli,ila kwa ushahidi huu wa global (kama ni kweli) huyu Kiba haki ya Mungu hawezi kufika mbali kimuziki ataishia hapo hapo kariakoo.mamaaeee!

Umewah kuwaamin global?
 
Moyo wako unakwenda wapi? Mjifunze toka kwangu Diamond naye akifanya ushuzi mnatakiwa kumpa makavu, nimegunduwa sisi ndio tunawapoteza hawa watoto.

Umeona mashabiki wa Taifa stars walichokifanya? Si kina Malinzi walikuwa jeuri?
Matola kosa la Diamond ni nini?
 
Last edited by a moderator:
si walituambia mimba ya zari sio ya Diamond bali ni ya Katunzi na tukaamini?

Uliamini peke yako

Na sisomi kabisa izo gazeti zisizoeleweka

Nimesoma mahojiano ya Kiba na gazeti lenye heshima zake siku aliyorudi na kufika kwenye iko kikao cha tembo hakuna sehemu aliyomtaja diamond
 
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.



Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba.

TUJIUNGE ENEO LA TUKIO


Ali Kiba alitema cheche Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Hoteli ya Sea Cliff, Masaki jijini Dar, kulikokuwa na uzinduzi wa kampeni ya kupinga vita ujangili, iliyoratibiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, huku akiwa ni mmoja wa mabalozi sanjari na mlimbwende wa zamani, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ‘K-Lyin’.



Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz.

USO KWA USO NA PAPARAZI


Baada ya shamrashamra za ‘event’ hiyo, haraka sana kama mshale wa Mmakonde, mwandishi wetu alimfuata Ali Kiba, lengo kuu likiwa ni kusikia chochote juu ya ushindi wa Tuzo za Kili ambapo alizoa tano binafsi na moja ya kushirikishwa.
Kiba alisema anaamini alistahili kushinda tuzo zote kwani vigezo na sifa anazo na amejiandaa kikamilifu kupambana na yeyote anayedhani kuwa ni mfalme wa muziki huo.


JINA LA DIAMOND LAMCHEFUA!


Katika mahojiano hayo, mwandishi wetu alimkumbusha Ali Kiba uwepo wa Diamond ambapo kwa haraka sana alimkata kauli mwandishi kwa kusonya na kuweka wazi kuwa miongoni mwa mambo ambayo humpa kichefuchefu, ni pamoja na kusikia jina la Diamond likitajwa mahali popote penye uwepo wake!


“Kaka, sitaki kabisa kulisikia jina hilo, linanipa kichefuchefu, unajua kwa kipindi ambacho nilikaa kimya, nilikuwa nausoma mchezo lakini hakuna aliyeweza kuchukua kiti changu na kuamua kurejea ulingoni kwa kishindo na kuanzia sasa hivi ni mapambano mwendo mdundo,” alisema Kiba na kuongeza:


“Simaanishi kuwa hakuna msanii mzuri kama mimi, naomba nisieleweke vibaya, wapo lakini siyo huyo dogo (Diamond), muziki ni zaidi ya mbwembwe, niko kikazi na sasa nimedhamiria kweli, kama anaamini yuko fiti, kazi zitaweka wazi ukweli na si drama za kitoto.”


VIPI KUHUSU YEYE NA WEMA?
Mwandishi wetu alitaka kujua kulikoni msanii huyo alimuweka Wema Sepetu kwenye ukurasa wake wa Instagram akimmwagia shukrani lukuki na si mtu mwingine?


“Wema amekuwa ni shabiki wangu wa siku nyingi mno, alianza kunipenda kupitia wimbo wangu wa Hands Across the World (kwenye Project ya One-Eight) na kuanzia hapo amekuwa akinipa sapoti kubwa sana, siwezi kukaa naye mbali eti kisa huyo jamaa (Diamond).


“Naamini kwa asilimia nyingi sana hata huu ushindi wangu wa tuzo, umechangiwa na sapoti yake pamoja na wadau wangu wengine,” alisema Kiba.


AFUNGUKA KUHUSU VIDEO YA MWANA!
Pia, mwandishi wetu alimtaka staa huyo kufafanua madai ya kutoitendea haki video ya Wimbo wa Mwana, ambapo alisema, watu wengi walitarajia aifanye kulingana na mawazo yao ndiyo maana akaamua afanye vile anavyoaamini ingekuwa bora.

“Kila mtu alikuwa ameshatengeneza picha ya jinsi video ya wimbo itakavyokuwa, halafu sifanyi kazi kwa kushindana na mtu, ndiyo maana ilionekana tofauti na mawazo ya wengi, namalizia kwa kusema salamu zimfikie jamaa (Diamond) kuwa mapambano ndiyo kwanza yameanza,” alisema Kiba.

DIAMOND ANASEMAJE?


Hadi tunakwenda mitamboni, jitihada za kumpata Diamond aweze kuzungumzia vita hiyo iliyofufuka upya hazikuzaa matunda kufuatia simu ya staa huyo aliyekuwa nchini Afrika Kusini kikazi, kuita bila majibu.
TUJIKUMBUSHE
Kwa muda mrefu sasa, Kiba na Diamond wamekuwa wakiripotiwa kuwa na bifu la chini kwa chini linalotokana kugombania ufalme wa muziki Bongo.

Kwa hisani Ya Global Publishers

huu ni udaku tu sio kweli nimeuona instagram huu global wazushi sana #kebekebe
 
Hahahaaaaaa!! They didnt mata then how ll they mata now??? Nakumbuka kale kamsemo ka Matola eti wanajitekenya na kufanya nini......? Wanadhani na sie wanafiki km wao eti, now the game gooooooooz on ama nene! Yaani hivyo tu yaani

Mamy mambo?
 
Last edited by a moderator:
Ananijitekenya na kujijambisha mwenyewe lazima amchukie Daimond Kwan hatujui Hilo sio geniii,hasira zake za kukosa pesa ya kumalizia video ya cheketua asmmalizie Daimond,atakunya huku kasimama shenziiiiiiiii!;;;;;!!!!!!

za asubuhi ?#kebekebe
 
Back
Top Bottom