AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Moja 18000/=Tsh
Mkuu Abou hata mi nahitaj sana hiyo t-shirt, tupigie hata picha tupate moral ya kufanya bznes
Moja 18000/=Tsh
pwilo pwilo pwilo pwilo nakuomba lala mkuu upo kama wadada Wa San siro
Mara abuy4real maraUnju maraZabibu
Wao ndio kina nani kwetu cc
Alafu watu wakiwa serious kama umekos la kutype nenda kapige picha na tuzo zetu zile ili uuze sura ndio mnalo liweza ila kumshauri hamuwezi
Wallah Kiba angekua kaka angu tungekua tumeshagombana na kwake angenifukuza
yeah lazima aelewe tu maana hamna namna, maana mtu akikupenda sana siku ya kukuhate ni balaa
dah nyie mi ninauchungu kushinda hata huo wakwenu sema hamnioni tu ila ngoja niache tu maana #kebekebe
Naona umeenda kusaka TBT za kutosha
Angalia jinsi anavyomjibu cabbo utafikiri hayupo timamu vile
Iyo ya fally ipupa c kaipost kuonesha kua Kiba ajielewi licha ya kukubarika na bwana Robert Ila bado maskin
Badilika pwilo unampoteza kibanio wako
Moja 18000/=Tsh
Hizi porojo hatutaki bali tunataka kuona kazi ikiwa on fire, hizo coming soon zenu za miezi 6 tumezichoka
dah nyie mi ninauchungu kushinda hata huo wakwenu sema hamnioni tu ila ngoja niache tu maana #kebekebe
Hizi TBT na picha za r.kelly zimekua sababu ya sie kuonekana kama mazuzu.
Tutumie current selfiee
Tuuone uo uchungu
Ye akubali tu kuwa hiyo ishakuwa history now, ilikuwa bonge la golden chance kwake ila mswahili wetu huyu sasa akajua ndio ashaimaliza dunia, yaani hii chance huyu kiba ataijutia maisha.