Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
C mlikua mnajadili mtv nyie ?
Nimekuja kuwaamsha tu na daily ninawachora tu
Last edited by a moderator:
yaani anashindwa hata na huyu malaika katoa wimbo na video yake, kama vp asitoe audio atoe video tu, mambo gani haya analeta
C mlikua mnajadili mtv nyie ?
Nimekuja kuwaamsha tu na daily ninawachora tu
Hahahaaa njoo mamii atatukoma mwaka huu
duh haya poa bhana ila najua msg ataipata
Aseeee nimependa ile t shirt naipatajeeeeeeee
Yeah safi sana abou kwa kulianzisha hili, mwanzo nilikuwa sijamuelewa ujue, ila i told u he has something big hataki tu kufunguka, now you see every thing is naked, na kiba lazima atuelewe tu anadhani mziki ni wa familia huu!!
C mlikua mnajadili mtv nyie ?
Nimekuja kuwaamsha tu na daily ninawachora tu
Unaitaka ?
Upo wapi dar or?
Aupate Mara ngapi tifu tifu lililotokea insta huko mpaka aka kameneja kakaelewa kazi yetu
Now sipo dar nipo zanzb.
Calm down peterchoka achana na pwilo bwana, ndio hawahawa wanaomkwamisha kiba, eti subiri tu until when? Hivi muda wote tulosubiri jamani bado tu!! Haya sasa tunampa muda sasa abadilike for real aache ufekelo.
dah nyie mi ninauchungu kushinda hata huo wakwenu sema hamnioni tu ila ngoja niache tu maana #kebekebe
Now sipo dar nipo zanzb.