Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Dah kiba kama anapitia hapa basi atusikie fans wake, Tuzo 6 za Kill ni kick nzuri ya yeye kupandia kuelekea anga za kimataifa dah.. unatuangusha kiba thus why tunaonekana ni mahater tu.

kiba anashindwa kutumia fursa hiyo. mashabaki wake tunavumilia sana. anazingua sana sasa.
 
Mkuu wew ndo una ile account ya die hard fan? Nimeona kama mwandiko wako.
Weweeeeee usifuteee tena mwite kabisa aone asijidai kichwa ngumu

Rafiki angu ndio anamiliki ile account Jana tumedesign T-shirt nikajenga zile picha then nkapost ila Mimi ndio nilikua main commentor kuwatoa jeuri maandaz wanaomtetea

Na wameisoma viongoz wake wote

Na ao cjui rock star tumewachana DM mpka wametublck
Ila message sent
 
Rafiki angu ndio anamiliki ile account Jana tumedesign T-shirt nikajenga zile picha then nkapost ila Mimi ndio nilikua main commentor kuwatoa jeuri maandaz wanaomtetea

Na wameisoma viongoz wake wote

Na ao cjui rock star tumewachana DM mpka wametublck
Ila message sent

Aseeee nimependa ile t shirt naipatajeeeeeeee
 
Jamani uthimtukane jamani nitukaneni mimi badala yake pwilo nimemwona mahali anapiga gambe

duu haya mkuu gambe tena #kebekebe # mziki mzuri unakuja toka kwa kiba % kesho nitawawekea # yake mumueleze vizuri matatizo yake $kibajunior
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa leo ni truth day aiseee, ila hii kampeni tuendelee nayo hivihivi mpaka ajiongeze, tunambeba anapanda na viwembe(in matola's voice)

yaani anashindwa hata na huyu malaika katoa wimbo na video yake, kama vp asitoe audio atoe video tu, mambo gani haya analeta
 
Na mimi atanitambua ngoja nikapige picha na mabango asije akachezea akili zetu anajua ni jinsi gani tunatukanwa kwa ajili yake?

Ye kabweteka tu anaona rahaaaaa, ngoja nami nije tutengeneze mabango, uwiiiii
 
Dah kiba kama anapitia hapa basi atusikie fans wake, Tuzo 6 za Kill ni kick nzuri ya yeye kupandia kuelekea anga za kimataifa dah.. unatuangusha kiba thus why tunaonekana ni mahater tu.

Tumeitwa kila aina ya majina, tumebezwa haswaaa,tumetukanwa haswaaaa,tumevumilia haswaaaaa,tumemsifu haswaaaa, enough is enough its time now achukue hatua stahiki, fukuza mbali management, awe na watu wanaomtakia mafanikio sasa aachane na team utumbo huko, sie fans wake wa ukweli ndio tunampa ukweli sasa
 
wewe cute b huyo pwilo ananitafutia ban tu, haya sema kitu gani alichotupia pumbavuu zake

Calm down peterchoka achana na pwilo bwana, ndio hawahawa wanaomkwamisha kiba, eti subiri tu until when? Hivi muda wote tulosubiri jamani bado tu!! Haya sasa tunampa muda sasa abadilike for real aache ufekelo.
 
Last edited by a moderator:
Na ndio watu wanaomfanya asijihangaishe, wanajifanya hawaoni alot is wrong with kiba??

ila atoto leo tumeanza muda, tulikuwa watatu tu na abou, wadau wameongezeka sasa imekuwa hatari
 
Last edited by a moderator:
Wewe ukiendelea hivo utamkosesha Kiba fans wazuri tu.
Kwanza ukiwa unamfanyia massage mwambie anaboa kinyama nyama ila tunamvumilia.
Kama alikuwa hawezi hili gemu bora angestaafu akaendelea kuzaa akina unju wawe kama kumi ivi.

Hahahaaaaaa Ms.Lincoln umeua, daaaaah maana naona ktk kipengele hicho kijana yuko vzr sana aiseee(hili nalo tatizo) ila hilo lake binafsi, sasa aamke maana ndio maji alishayavulia nguo ayaoge tu japo ya baridiiiiiiii.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom