Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,424
Very true wakati ni sasa wa kutumia opportunity inayo kuja kwa kuchangamka na kwenda na situations ilivo.
Sijui kwanini aliwapuuzia richgang opportunity ni opportunity angeitumia kujiongeza financially zaidi na sio mengine kabisa.
Ni kweli hizi timu hazitabiriki kabisa afanye kazi kwa bidii zaidi kujiimarisha.
Kweli Kiba hajui maana ya hela.
hiyo ya richgang ilinipita, hebu nijuze Diva
Last edited by a moderator: