Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kwa kipaji tu cha utungaji na uimbaji anacho jamani, thats why i love him and i'll always, ila sasa achangamke kipaji tu hakitoshi, hiyo video alishindwa nini kuitoa kabla ya ramadhani maana ni muda tangu wimbo utoke alafu baada ya ramadhani aachie kitu matata tena?

He has to change pwilo we have allready waited for so long na anatakiwa ajivunie hilo, ila sasa asijekurupuka akaharibu, aende tu kwa step atafanya poa tu.

ok msijali jamani duu good thing are coming dont wory #abuuu99kiba
 
Last edited by a moderator:
Management yake ina jina kubwa sana, lakini hivi kuna msanii gani ambae anasumbua afrika anaesimamiwa hapo? biashara muda mwingine inahitaji uswahili na vitu vingivingi, kwa mfano kuwa na kazi hata tatu zilizokamilika ili tu kuhakikisha mda wowote kuna uhitaji wa new release ifanyike mda muafaka..

Na tatizo lingine si kila mtu anasikiloza redio, sikuhizi tv zinatumika sana pia, so kunakuwa na umuhimu saana wa video kutoka mapema hasa kwa soko la nje ya nchi..

Fact kabisaaaa, video ina umuhimu mkubwa mnoo now thats why d anatoboa japo kwa kipaji hamfikii kiba(usinune tafadhali) ila dogo anaijua biashara tuache ushabiki sifa zake tumpe jamani, na anajua kucheza na fans wake haswaaaa
 
Hahahaaaa!! Video tulijitengenezea vichwani mpaka imechuja, hii strategy yawezekana alipoifikiria ilikuwa nzuri ila sasa naona kulingana na soko imefail, he has to change, inachukua muda mnooo kutoa video.Japo wimbo bado mtamu ila video imechelewa sana

video zetu za vichwani mpaka zinachuja. ila tu roho ngumu ujue atoto #kingkiba
 
Last edited by a moderator:
Kwanza tuanze na huyu Matola, yeye alisema atashughulia suala la management au alikuwa anafurahisha genge, halafu kuna huyu pwilo na abou hawa kuna mambo wanayajua
 
Last edited by a moderator:
Kwanza tuanze na huyu Matola, yeye alisema atashughulia suala la management au alikuwa anafurahisha genge, halafu kuna huyu pwilo na abou hawa kuna mambo wanayajua
 
Last edited by a moderator:
m
Cabo snop aliomba colabo hivi iliishia wapi? Aliiachia ile fursa hivihivi!! Mmmh mayb management ilikataa, mie bado nalia na management, hivi yeye haoni kama management yake ina shida?

no yani cabosnop aliituma insta hafu akaandika "hey brother officialikiba i want to talk with u "ila kiba hakujibu jeuri sana kiba yule msimamo wa akili yake ni imaraa cjui anawaza nn some tmz ok good things are coming #kebekebe
 
Yeyote anayetetea Ally Kiba asikosolewe atakuwa na matatizo kwenye mfumo wa kufikiri, madhumuni ya special thread hii ni kumshauri na kumkosoa kwahiyo wadau wanaomkosoa Kiba wapo sahihi kwa 100%.

Kiba bado mshamba sijui ni utoto au ni nini tatizo lake kama ni support ameshapewa full support anataka nini zaidi? Tumtie madole ya matakoni ndio astuke?

Hivi hawa watoto wanajuwa kina Sugu walivyostragle kuiweka Bongo Fleva mpaka inakubalika? Pamooja na ugumu na vikwazo vyote Sugu kila mwaka alikuwa anashuka na Album moja nzito muziki wa Ghetto. Why this boy kinachomshinda nini na hii ndio kazi yake?

Kiasili mimi ni shabiki wa hiphop lakini kama mpaka nawasupport hawa wabana pua na hawabebeki basi dawa yake ipo.
 
Swaumu kwani ina nini?

Umeikazania swaumu ww
Ngoja nikupe
Kasema hivi
'Siwezi kutoa chekecha video Leo alafu swaumu ikipita niachie wimbo mwengine coz nitaingia loss nitasubir miezi 2 au 3 mbele ili niachie new project " so mashabiki msubili mpka miezi hyo 2 ipite

Na uache kuwapoza cjui subilieni swaumu ipite mtainjoi waambie "subilini baada ya miezi 4 project ya collabo itaanza "

Am Done

Uwiii abou kweli leo umeamua, kwahiyo ndio kusema video ya chekecha is history now?? Hivi hyu Kiba anajiamini nini? Tumemjaza upepo kiasi hicho hadi ajiamini hivyo!! Aiseeee inatakiwa ajitathmini hizo kauli zake zitamponza, aangalie yanayomkuta mwafulani now ni sababu ya kauli ambazo wanaona ni nyepesi kumbe nzito mnoooo.
 
Last edited by a moderator:
Hyo ya richgang walitoa offer ka anahitaji msaada wowote awa consult. Sasa naona Kiba akakaa kimya wakati hyo ni support.

Hivi wale nao walikuwa serious au stress za kuachwa tu!! Wale nao siwaamini ujue, misaada mingine huwa na majuto baadae aisee
 
Hyo ya richgang walitoa offer ka anahitaji msaada wowote awa consult. Sasa naona Kiba akakaa kimya wakati hyo ni support.

duh! Hilo ni tatizo kubwa, ukimya huu siuelewi maana yake hadi sasa, watu tumevumilia rohoni hadi yametutoka
 
m

no yani cabosnop aliituma insta hafu akaandika "hey brother officialikiba i want to talk with u "ila kiba hakujibu jeuri sana kiba yule msimamo wa akili yake ni imaraa cjui anawaza nn some tmz ok good things are coming #kebekebe

Pumbaff
Am soree.
Sasa hapo unaona ni sifa au anajiroga?
Too much ego for What???
 
Back
Top Bottom