Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kiba ni stress tuu acha nikaweke gambe

Hahahaaaaa! Acha hizo mdogo wangu gambe likiisha je??
Tuendelee tu kumshtua huyu mtu wetu atastuka tu, hii management yake ya home ndio shida
 
Management yake ina jina kubwa sana, lakini hivi kuna msanii gani ambae anasumbua afrika anaesimamiwa hapo? biashara muda mwingine inahitaji uswahili na vitu vingivingi, kwa mfano kuwa na kazi hata tatu zilizokamilika ili tu kuhakikisha mda wowote kuna uhitaji wa new release ifanyike mda muafaka..

Na tatizo lingine si kila mtu anasikiloza redio, sikuhizi tv zinatumika sana pia, so kunakuwa na umuhimu saana wa video kutoka mapema hasa kwa soko la nje ya nchi..
i like ur point aisee #abuuu99kiba
 
Uwiii abou kweli leo umeamua, kwahiyo ndio kusema video ya chekecha is history now?? Hivi hyu Kiba anajiamini nini? Tumemjaza upepo kiasi hicho hadi ajiamini hivyo!! Aiseeee inatakiwa ajitathmini hizo kauli zake zitamponza, aangalie yanayomkuta mwafulani now ni sababu ya kauli ambazo wanaona ni nyepesi kumbe nzito mnoooo.

Pwilo ananiuzi hajui tu

Tatizo ni Kiba
Na mijitu Fulani Mfano Wa Pwilo ambao wamemznguka
 
Last edited by a moderator:
Yeyote anayetetea Ally Kiba asikosolewe atakuwa na matatizo kwenye mfumo wa kufikiri, madhumuni ya special thread hii ni kumshauri na kumkosoa kwahiyo wadau wanaomkosoa Kiba wapo sahihi kwa 100%.

Kiba bado mshamba sijui ni utoto au ni nini tatizo lake kama ni support ameshapewa full support anataka nini zaidi? Tumtie madole ya matakoni ndio astuke?

Hivi hawa watoto wanajuwa kina Sugu walivyostragle kuiweka Bongo Fleva mpaka inakubalika? Pamooja na ugumu na vikwazo vyote Sugu kila mwaka alikuwa anashuka na Album moja nzito muziki wa Ghetto. Why this boy kinachomshinda nini na hii ndio kazi yake?

Kiasili mimi ni shabiki wa hiphop lakini kama mpaka nawasupport hawa wabana pua na hawabebeki basi dawa yake ipo.

Aisee.
Leo umenena...ila nikuulize ulufanikiwa kufanya naye mawasiliano yeyote?
 
Cabo snop aliomba colabo hivi iliishia wapi? Aliiachia ile fursa hivihivi!! Mmmh mayb management ilikataa, mie bado nalia na management, hivi yeye haoni kama management yake ina shida?

Et mtu anajipndekeza yy ajibu SMS
Kiba ni mzigo ambao soon nitautua
 
video zetu za vichwani mpaka zinachuja. ila tu roho ngumu ujue atoto #kingkiba

Sanaaaaa, we muache ajisahau tuje tumhame ndio akili itamjia, ila anavyotiaga huruma yule atalia walah, sijui anajivunia nn haswa yule mtu
 
Last edited by a moderator:
Swaumu kwani ina nini?

Umeikazania swaumu ww
Ngoja nikupe
Kasema hivi
'Siwezi kutoa chekecha video Leo alafu swaumu ikipita niachie wimbo mwengine coz nitaingia loss nitasubir miezi 2 au 3 mbele ili niachie new project " so mashabiki msubili mpka miezi hyo 2 ipite

Na uache kuwapoza cjui subilieni swaumu ipite mtainjoi waambie "subilini baada ya miezi 4 project ya collabo itaanza "

Am Done

unachokataa ni nini sasa wakati mi nimesema swaumu ipite au sijaelewa point yako sasa akitoa video c itakuwa swaumu imepita $kebekebe
 
Pumbaff
Am soree.
Sasa hapo unaona ni sifa au anajiroga?
Too much ego for What???

Cabbo snoop alizngua mnafki tu na yy

Mara ya kwanza alishindwa kufika location kushut video alivyofika akasema awez kushut na akataka aongezewe dai kutoka m10 to 25 Kiba akachomoa kipindi icho kabbo ni hatari

Sasa Leo kachuja anakuja tena
Ila ningekua Mimi Kiba ningekubali ili niiteke Angola kwenye music industry
 
Hivi wale nao walikuwa serious au stress za kuachwa tu!! Wale nao siwaamini ujue, misaada mingine huwa na majuto baadae aisee

Hata kama walikua wanatania, alipaswa afanye biashara kwa kauli yao
 
Kwanza tuanze na huyu Matola, yeye alisema atashughulia suala la management au alikuwa anafurahisha genge, halafu kuna huyu pwilo na abou hawa kuna mambo wanayajua

Ukimbemba mtu mgongoni halafu akipanda na viwembe unafanyaje!? The guy is poor in public relation tena yeye na manegement yake ni chupa na mfuniko, wangekuwa na akili ya kibiashara kwanza wangekuwa mpaka dakika hii wamesharecognise JF kama platform muhimu lakini wao wanabinuwa mikundu yao tu Instagram nyoko zao wote.

Huu ni mwaka wa kuikombowa Tanzania ni bora nikaelekeza nguvu na harakati zangu sasa kwenye siasa kuhakikisha Ccm inang'oka madarakani mwaka huu kuliko kuibeba miuza sura na mibana puwa isiyokuwa na akili.

Am done.
 
Last edited by a moderator:
m

no yani cabosnop aliituma insta hafu akaandika "hey brother officialikiba i want to talk with u "ila kiba hakujibu jeuri sana kiba yule msimamo wa akili yake ni imaraa cjui anawaza nn some tmz ok good things are coming #kebekebe

Uwiiiiii ngachoka mie, kwahiyo hata kujibu hakuijibu?? Mweeeeeh kib atakuwa na tatizo la kuzaliwa aisee
 
Fact kabisaaaa, video ina umuhimu mkubwa mnoo now thats why d anatoboa japo kwa kipaji hamfikii kiba(usinune tafadhali) ila dogo anaijua biashara tuache ushabiki sifa zake tumpe jamani, na anajua kucheza na fans wake haswaaaa

True kuna vitu hivi (kipaji na uzuri wa sauti) havina nafasi kabisaa, (nimefurahi mwanadada ninaemkubali zaidi beyonce amekiri hilo hapa juzi)

Ni sawa na mwandiko mzuri kwenye mtihani sio ishu kabisa, but for some personal reasons inakubeba kidogo saana..

Ndio maana ukijaribu kuangalia xfactor marekani kwa mfano, kama ni mara ya kwanza utasema daaah huyu dogo baada ya miaka mi5 atakuwa beyonce au chris brown something which is not there... Hata kwetu bongo madogo wanajitahidi saana na niwakali vibaya kwenye bongo star search but wakitoka hapo hamna kitu...

Tallent add something to your work, but determination and hardworking makes you unique in your own level kwa upande wa muziki...
 
Management yake ina jina kubwa sana, lakini hivi kuna msanii gani ambae anasumbua afrika anaesimamiwa hapo? biashara muda mwingine inahitaji uswahili na vitu vingivingi, kwa mfano kuwa na kazi hata tatu zilizokamilika ili tu kuhakikisha mda wowote kuna uhitaji wa new release ifanyike mda muafaka..

Na tatizo lingine si kila mtu anasikiloza redio, sikuhizi tv zinatumika sana pia, so kunakuwa na umuhimu saana wa video kutoka mapema hasa kwa soko la nje ya nchi..

Hapana kuna mtu anaitwa Stanley enow yupo vizuri ni rapper na wanammeneji vizuri

Nafikiri anawania best collabo pale MTV awards

Tatizo Kiba ajiongezi anataka atafuniwe
Yani yupo kama kikongwe au mtu aliyepewa taraka
 
Sanaaaaa, we muache ajisahau tuje tumhame ndio akili itamjia, ila anavyotiaga huruma yule atalia walah, sijui anajivunia nn haswa yule mtu

kiba lazima akosolewe ili ajifunze. anatakiwa abadilike kwa kweli.
 
Back
Top Bottom