Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Afu kweli mimi sijui ni nini kimempata leo sijui ni team domo anatembelea id yake? Ata sielew

Team domo wakiniona wanashut up

Mimi mwenyewe nikiwa na akili zangu timamu naandika haya
Tuacheni kua bendera tumkosoe tu bwana Ali
 
kiba anatuangusha sana. kipindi kile anasema anarudi me nikajua toa kitu weka kitu. tatizo liko wapi?

Hatusemi hana kipaji, hatusemi ni mbaya.Sijui kati yake na watu anaofanya naye kazi nani anamrudisha nyuma.
Angetumia mtaji huu wa kuwapa fans kitu wanachotegemea hakika angepata faida kubwa sana
Fans are powerful resource. Sisi ndio wateja wake.
Angejiongezea fans na umaarufu.sasa yeye anafanya vitu jama yupo kwenye ulimwengu wake.
Hakuna mashabiki loyal kama sisi.Wengine wanatuita tuna roho ngumu...wapo sahihi.
 
kiba anatuangusha sana. kipindi kile anasema anarudi me nikajua toa kitu weka kitu. tatizo liko wapi?

Tatizo hata kurudi aikua ridhaa yake

Wadada wachache kama wastara walianzisha kampeni instagram " bring back our Kiba" watu wengi wakairepost

After two weeks akamfata didas ambaye alianzisha kampeni ile kua am back for real
Akatoa mwana watu wakaipokea
Maneno mengiiii kama mtu Wa pwani vile
 
Sikiza pwilo nikwambie.
ALI KIBA HATUTENDEI HAKI MASHABIKI WAKE.
Kama huoni hilo basi wewe una mahaba mpaka mahaba yanakuogopa.

kweli ulilosema.. Ila ninapenda upendo wa mashabiki kwake ni vizuri sana.... muda mwingine huwezi jua kinachoendelea nyuma ya pazia patience is all that counts...

Nadhani muda wote huu atakuwa anajifunza kitu, na sidhani kama anaridhika na attention ya watu tu...
 
Last edited by a moderator:
dah maskini kinachomuumiza kiba ni mkimya sana anafanya vitu kwa siri sana mashabiki wanataka hata akiumwa na tandu apost instagram kama domo

Unaposema kama domo unakosea
Afanye kama wengine wanaofanya kazi kama yake na wakafanikiwa.
Hususan akipost vitu vinavohusiana na kazi yake.
Publicity is publicity wether bad or good.Seuze ukifanya good!
Je kwanini hamfollow mtu hata mmoja?
Unadhani inamsaidia??
 
kwani Ms.Lincoln unajua lolote, nawe atoto vp jamaa bado hajaja pm

Hajani pm aisee sijui kapotelea wapi huyu mdogo wangu, ila guys lets be serious, Kiba needs to change ila sasa how to change ndio hapooo shida inapokuja, he is very talented ni kweli ila talent bila hard work haimati, kwanza hiyo management ndio suala zito hapa maana hata kama yupo slow km management ingekuwa poa angechangamka tu.
 
Last edited by a moderator:
Hatusemi hana kipaji, hatusemi ni mbaya.Sijui kati yake na watu anaofanya naye kazi nani anamrudisha nyuma.
Angetumia mtaji huu wa kuwapa fans kitu wanachotegemea hakika angepata faida kubwa sana
Fans are powerful resource. Sisi ndio wateja wake.
Angejiongezea fans na umaarufu.sasa yeye anafanya vitu jama yupo kwenye ulimwengu wake.
Hakuna mashabiki loyal kama sisi.Wengine wanatuita tuna roho ngumu...wapo sahihi.

kiba ana kipaji sana. kwanini hatupi mashabaki wake vitu vizuri. tunavumilia sana ujue. na kweli sisi ni mashabiki loyal tena wenye uvumilivu kwa kiba. toka jana kiba ilibidi awe video hata nne
 
kwani Ms.Lincoln unajua lolote, nawe atoto vp jamaa bado hajaja pm

Mi nachojua kuna mambo mazuri yanakuja.
Ila awe mwangalifu, wakati yeye anaangalia kufika kwenye 8 wenzie wanafikia 1.
Very bad ni kosa kabisa kujilinganisha nao.Sijui kama unanielewa.
 
Last edited by a moderator:
kweli ulilosema.. Ila ninapenda upendo wa mashabiki kwake ni vizuri sana.... muda mwingine huwezi jua kinachoendelea nyuma ya pazia patience is all that counts...

Nadhani muda wote huu atakuwa anajifunza kitu, na sidhani kama anaridhika na attention ya watu tu...

Naomba awe anajifunza kabisa.
Amekuwa anatupa mafumbo ya imani.
Jirani nawewe mdaku sana aisee.
 
Team domo wakiniona wanashut up

Mimi mwenyewe nikiwa na akili zangu timamu naandika haya
Tuacheni kua bendera tumkosoe tu bwana Ali

Kwani mkuu yeye kiba amesema msimamo wake kuhusu iyo video ni nini? Ebu weka mambo wazi mkuu wangu coz mi mwenyew sipendi lakini lazma tujue ni kipi haswa kinachomsumbua kiba ni hela au ni nini..
Coz mi najua wazi mtu ukiwa na hela unaweza kufanya kila kitu ila ukiwa hauna hela haujui ata pa kuanzia
 
dah maskini kinachomuumiza kiba ni mkimya sana anafanya vitu kwa siri sana mashabiki wanataka hata akiumwa na tandu apost instagram kama domo
pwilo Kiba pamoja na ukimya ila ana uzubaifu fulani hiyo ni kweli kabisaa, na ukichangia na hiyo management bubu yake ndio kabisaaaa, hebu basi achangamke sasa, inaelekea upo karibu nae, hebu msimjaze sifa tuuu bila kusahau kumshtua aendane na soko, ila kwa utaratibu ili asiharibu
 
Last edited by a moderator:
Watu design yako bwana pwilo ndio waliomzinguka Kiba

Hatufiki tuendako kama washauri wenyewe ni mfano wako ww

Unatetea mpka upumbavu badirika bro
Panapo bidi kukosoa kosoa tu
abou jamani taratibu basi, hivi manager wake tz ni nani?
 
Last edited by a moderator:
kiba ana kipaji sana. kwanini hatupi mashabaki wake vitu vizuri. tunavumilia sana ujue. na kweli sisi ni mashabiki loyal tena wenye uvumilivu kwa kiba. toka jana kiba ilibidi awe video hata nne

Tunaroho ngumu sisi zaidi ya Paka.
Ndio maana nikiwaona wasengerema wananitikisa huwa nawaonea huruma tu.Hawajui nimejitoaje yani.
Kiba needs to react.Anatutia machungu.
 
Tatizo hata kurudi aikua ridhaa yake

Wadada wachache kama wastara walianzisha kampeni instagram " bring back our Kiba" watu wengi wakairepost

After two weeks akamfata didas ambaye alianzisha kampeni ile kua am back for real
Akatoa mwana watu wakaipokea
Maneno mengiiii kama mtu Wa pwani vile

Ukiwa na kipaji kama alikiba hutakiwi kujipanga kihivo, naamini ni jeshi lililo tayari muda wowote..

But tatizo linapokuja, muziki wa tz kidogo naona kama mashabiki wanafurahi zaidi msanii anapoweza kutoboa kimataifa.. lakini ukumbuke pia investment kipesa inatakiwa ifanywe ya maana, na mda wote alipokuwa kimya sidhani kama alikuwa na source kubwa ya kipato kama muziki...

Nadhani muda unavyodhidi kusogea mambo yanazidi badilika, hiyo video ya chekecha imefanyika sawa tena na director mzuri saana, so ni kiashiria kizuri (tatizo tu kwanini haitoi? au ramadhani kwa wenzetu waislamu?)
 
Kweli mkuu hizo collabo nasikia zipo.
Ila mfano iyo yake na fally ipupa toka mwaka jana naisikia tu

Kiba anahitaji management itakayomshtua, lasivyo atakuwa historia soon, he has a long way to go bado, asijeridhika na hizi sifa tunazompa akalewa akalala tena, muziki huu inatakiwa aufanye kibiashara sio kifamilia aisee, kama ni mdogo wake ashambeba sana mpaka kajisahau kuwa na yeye ana deni la kulipa kwa fans wake, aamke sasa.
 
Tatizo hata kurudi aikua ridhaa yake

Wadada wachache kama wastara walianzisha kampeni instagram " bring back our Kiba" watu wengi wakairepost

After two weeks akamfata didas ambaye alianzisha kampeni ile kua am back for real
Akatoa mwana watu wakaipokea
Maneno mengiiii kama mtu Wa pwani vile

Dont tell me!! Kumbe alishaamua kuacha muziki!! Kweli aliamua kile kipaji kipotee hivihivi, there is something wrong with this guy aisee, kweli inatakiwa ajivunie fans alio nao
 
Na kwenye hii video lazima kuna shida, hii management nayo duuuuh!

Director Wa ile video n fundi kuliko hata uyo mungu baba
Ila nkiitazama dressing code ya chekecha cheketua
Tayari napata majibu ya kutosha
 
mi ni shindwa hata kuwaelewa hawa au wanataka awe kama AY afanye vitu lakini hamna mafanikio cha muhimu kutulia kwanza good things are coming nyie subirini colabo ya wizkidayo chrisbrown na bella wataelewa tu#kebekebe

Teh teh iyo collabo ya Bella tu wanataka wamfute na nilickia kwa sikio langu
 
Back
Top Bottom