Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Kiba anapaswa kushindana na hali ya soko la muziki wa sasa akianzia nyumbani mpaka nje.
Kwa iyo ajifanyie anavotaka tu?
Jamani, sio sawa tutaishia kuchekwa kama mabundi tu.
Mie sikatai hilo mama na ndio lengo la huu uzi, kumshauri,kumpa changamoto na kumsapot, ila unajua hata ushauri una namna ya kutolewa, waweza tos ushauri mzuri tu ila ukaonekana wa ovyo kutokana tu na the way unavyoutoa, jazba za nini sasa jamani.