Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

usjali kabisaa yani kuhusu king kiba yani zabibu ndo anajua vitu vingi sana vya kaka yake hta nyimbo zake ye ndo anazivujisha insta xo dont worry about kiba he is from another planet #kebekebe

Kiba anapaswa kushindana na hali ya soko la muziki wa sasa akianzia nyumbani mpaka nje.
Kwa iyo ajifanyie anavotaka tu?
Jamani, sio sawa tutaishia kuchekwa kama mabundi tu.
 
Kiba yupo chini ya management bora Africa ambayo ipo karibu na mastaa wakubwa duniani kwa maana iyo yupo vizuri ila local management yake haina tofauti na ngozi ya kenge

Kwani manager wake wa home ni nani?
 
atoto, huyu inaonekana ana info za kutosha, yeye ndo alosema kuwa king yupo US anasuka kolabo, na pia leo ndo kaanzisha hii ishu, nimemwambia afunguke pm napo kimya, yaani angejua jinsi nnavyomkubali huyu kiba
abou funguka bwana, au ni sababu za kiintelijensia😉
 
Last edited by a moderator:
Hivi unakijua kilichotokea kwenye video ya chekecha ?
Kiba anaringia kipaji sawa ila kinapita kile
Eeeh!..ni kitu gani tena mkuu kimetokea kwa hiyo video?,alafu kama ni kitu sensitive sana naomba usicomment hapa just nifuate PM unijulishe bana.
 
Mtazamo wangu ni huu
Ili Kiba Mr Ambassador abadilike
Inabidi mashabiki tujielewe

Kiba has gt immense fan base
Ila hataki kua karibu nao
Hawasikilizi itafika kipindi watakimbia watabaki wachache

Mtu unampa ushaur anakujibu K
K, anamaanisha Kiba&Kidoti
Au kubwa kuliko

Mmmmh alikujibu hivyo?? Nakumbuka alipost kuwa "ninashukuru nimesikia ushauri wenu and am working on it"
Kwahiyo unataka kila unachomwambia akichukue? Kumbuka ushauri unaotolewa ni mwingi mnooo na watu tofautitofauti na kila mmoja na mtazamo wake, it needs time for him kuchuja which is which, na kumbuka ana management hawezi kujiamulia tu, cha msingi aisuke kwanza management yake vizuri ili iendane na soko la muziki kwa sasa, na unaweza ukute ana malengo yake tofauti kabisaaa na tunavyofikiria, tumpe muda
 
Uislam unakataza watu kuimba
Anachokifanya Kiba ni ukosefu Wa maneno linasingizia ramadhani

Hivi unafikiri akiachia cheketua video week 2 zijazo izo ngoma cjui collabo mnazolilia c zitatoka January 2016 ? Na video zake July 2016

"li" Kiba kakufanya nini leo? Hahahaaaa nacheka kama mazuri aiseee, wewe una lako jambo sio bure, hebu punguza jazba toa ushauri vizuri tu utaeleweka haina haja ya kupanik
 
Hivi unakijua kilichotokea kwenye video ya chekecha ?
Kiba anaringia kipaji sawa ila kinapita kile

Mmmmmh!! Yashakuwa mazito haya, sio bure abou apaniki hivi si bure, sasa abou kama unadai hasikilizi ushauri wht do you think can be done?
 
Last edited by a moderator:
"li" Kiba kakufanya nini leo? Hahahaaaa nacheka kama mazuri aiseee, wewe una lako jambo sio bure, hebu punguza jazba toa ushauri vizuri tu utaeleweka haina haja ya kupanik

naona kama vile yale mambo aliyoyasema zingifuri yanatokea kwa huyu jamaa
 
kwani kuna nini tatizo? Mimi ninachojua kuna ngoma kiba alikuwa ameiachia na vipande vimevuja.
Lakini pamoja na hayo ni vyema tukajuzana ni kipi kimetokea haswa
 
naona kama vile yale mambo aliyoyasema zingifuri yanatokea kwa huyu jamaa

Mmmh this is bad, tumpe tu ukweli(ushauri) in a way that atauona unafaaa, sasa ushauri wa jazba hivi jamani si hata huyo anayeshauriwa atashangaa
 
Mmmmmh!! Yashakuwa mazito haya, sio bure abou apaniki hivi si bure, sasa abou kama unadai hasikilizi ushauri wht do you think can be done?

Afu kweli mimi sijui ni nini kimempata leo sijui ni team domo anatembelea id yake? Ata sielew
 
Last edited by a moderator:
kwani kuna nini tatizo? Mimi ninachojua kuna ngoma kiba alikuwa ameiachia na vipande vimevuja.
Lakini pamoja na hayo ni vyema tukajuzana ni kipi kimetokea haswa

we ndo inabidi utujuze video inatoka lini cute b
 
Last edited by a moderator:
Afu kweli mimi sijui ni nini kimempata leo sijui ni team domo anatembelea id yake? Ata sielew

Yaani mie hata simuelewi kabisa leo, sijui Kiba kamfanya nini na inaonekana ni mtu wake wa karibu(coz he knows alot) sas kuja kumalizia hasira zake hapa mie nimebaki tu mdomo wazi, abou hebu calm down kwanza ongea tu vizuri utaeleweka bwana, ofcoz Kiba ana mengi ya kujifunza lkn sio kwa mtindo huu
 
Last edited by a moderator:
Yaani mie hata simuelewi kabisa leo, sijui Kiba kamfanya nini na inaonekana ni mtu wake wa karibu(coz he knows alot) sas kuja kumalizia hasira zake hapa mie nimebaki tu mdomo wazi, abou hebu calm down kwanza ongea tu vizuri utaeleweka bwana, ofcoz Kiba ana mengi ya kujifunza lkn sio kwa mtindo huu

kwani bado hajaku-pm
 
Last edited by a moderator:
Yaani mie hata simuelewi kabisa leo, sijui Kiba kamfanya nini na inaonekana ni mtu wake wa karibu(coz he knows alot) sas kuja kumalizia hasira zake hapa mie nimebaki tu mdomo wazi, abou hebu calm down kwanza ongea tu vizuri utaeleweka bwana, ofcoz Kiba ana mengi ya kujifunza lkn sio kwa mtindo huu

Mi naona tumwache kwanza atulie
 
Last edited by a moderator:
kwani kuna nini tatizo? Mimi ninachojua kuna ngoma kiba alikuwa ameiachia na vipande vimevuja.
Lakini pamoja na hayo ni vyema tukajuzana ni kipi kimetokea haswa

Mamii abou atakuwa na lake zito na inaonekana limemtokea yeye mwenyewe, sasa hii njia alokuja nayo leo ndio siielewi, mangapi tushayaongea humu kuhusu mapungufu ya Kiba na kumshauri? Sasa inatakiwa tusichoke kumshauri ndio wetu huyo ataelewa tu thats wht i believe, najua hata yeye hafurahii pale alipo kulingana na muda alokaa ktk game ila he learned n still learning, hata hivyo tayari ashaonyesha mabadiliko kulinganisha na Kiba wa 2005, watu hawafanani jamani, and the pressure is too much
Akikurupuka akaharibu sisi sisi ndio tutarudi hapa kuongea tena.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom