pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,562
- 14,627
Mmmmh alikujibu hivyo?? Nakumbuka alipost kuwa "ninashukuru nimesikia ushauri wenu and am working on it"
Kwahiyo unataka kila unachomwambia akichukue? Kumbuka ushauri unaotolewa ni mwingi mnooo na watu tofautitofauti na kila mmoja na mtazamo wake, it needs time for him kuchuja which is which, na kumbuka ana management hawezi kujiamulia tu, cha msingi aisuke kwanza management yake vizuri ili iendane na soko la muziki kwa sasa, na unaweza ukute ana malengo yake tofauti kabisaaa na tunavyofikiria, tumpe muda
yani point yao kubwa ni kwanini anachelewesha video basi hamna lingine #kebekebe