The pressure is too much, anatakiwa arelax sana afanye vitu na maamuzi ya maana, lasivyo tutaendea kulalamika hivyohivyo. Alafu kutoa ngoma kila siku ndio isue? Angalia kwanza uhai wa nyimbo anazotoa then chilax.
kama kuna lolote liweke hapa tujue, watu tuna vifua kwa habari kama hizo, pia hata iweje siwez acha kumpenda kiba labda aache mziki
ila swala la kusikiliza mashabiki halafu yeye inakula kwake mwisho mashabiki watasema wanataka atoe nyimbo nyingi mimi ninavyoamini na kinachowasumbua watu ni kumshindanisha domo na kiba wakati kiba wala hashindani na mtu mm simshindanishi ndo mana sina wasiwasi na yeye #kebekebe
Nakuelewa sana.
"Nimekuja kufuta vumbi kiti changu "
Kumbe alikua na kiti na hakuna aliekalia ila c aliwakuta watu wanaimba ? Mpka hapo alionesha kaja kushindana na co kulala lala kama pono
"Now ckai kimya ni bampa to bampa "
Tangu aongee iyo kauli katoa ngoma ngapi na video ngapi ?
Au bampa to bampa maana yake ni pole pole mpaka yethu arudi ?
Inshort music ni ushindani bila ushindani tutaendelea kuwaimbia kina Kidoti doti vyumbni
Hatutoki ng'ooo
Hapana.
Nasema hii sio kawaida.
Its bad for the business.
"Nimekuja kufuta vumbi kiti changu "
Kumbe alikua na kiti na hakuna aliekalia ila c aliwakuta watu wanaimba ? Mpka hapo alionesha kaja kushindana na co kulala lala kama pono
"Now ckai kimya ni bampa to bampa "
Tangu aongee iyo kauli katoa ngoma ngapi na video ngapi ?
Au bampa to bampa maana yake ni pole pole mpaka yethu arudi ?
Inshort music ni ushindani bila ushindani tutaendelea kuwaimbia kina Kidoti doti vyumbni
Hatutoki ng'ooo
mkuu mi nakushauri usimshindanishe kiba na domo kisa domo kasema kashamaliza kushot video na
kiba nae atoe ni hivi mkiacha kumshindanisha na domo hayatatokea hayoo unayoyafikiria/kuwaza they are different #King kiba
Hapana.
Nasema hii sio kawaida.
Its bad for the business.
sawa na nigeria ndo nje mana ndo wanapokimbilia #kebekebe
mi najua video ipo tayari kama kuna kingine tuambie tujue mbona ivyo mkuuu tuambie hapa kwani tatizo liko wapi ? #kebekebe
Nigeria ndio ipo vizuri ki Music katika bara letu ukitaka chukua hutaki ckulazimishi
Jana niliona wanaija wamekomenti kwenye ile post ya davido kua wanamjua alikiba ila mmoja akasema kwanini tangu aimbe na Rkelly ajaimba tena
Kuna umuhimu Wa collabo !! Lakini Kiba atakuletea collabo na Christ Bella
ile ilikuwa chance ya kingkiba kutoka kimataifa. naomba aongeze juhudi me naamini anaweza.
Haha poop it on k 4 real. Comin soon miez 3 nimecheka sana teamstress
Sasa kwanini sehemu ya kwenda dakika kumi anatumia miaka 10 kufika ?
Yaani watu wanajua kua kaacha music