Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Aitoe tu, na gharama zote hizo? Kama ni kuongea huwezi zuia watu, inasimangwa maiti itakuwa King habari ya watanzania!!! Aitoe tu tucheketue sie, mwenye script yake akaandae nayo movie huko.
Ukipewa nafasi umkosoe Kiba utamkosoa kweli ww?