Sasa album huuzi !!
Na kutoa nyimbo japo tumbili tu kwa mwaka iwe shida?
Punguza mahaba pwilo utakuja kumpga mkeo kisa Kiba ohooo
pwilo hebu mchimbe abou akueleze inaelekea ana jambo zito sana sio bure kwakwelidah haya bwana ila mi naona kwa mtazamo wangu labda video kweli anazngua ila kutoa manyimbo ovyo ovyo kama domo co system nzuri ok kila mtu na mtazamo wake lakini ila kiba ana colabo na nyimbo nyingi hataki kuziachia kama ya bella kebekebe
We abou inaelekea kuna kitu unakijua ila hautaki kukiongelea, hilo shimo unaloongelea sijui kachimbiwa, kachimbiwa na nani? Kila mmoja hufanya mambo kwa utashi na nafasi yake, ushindani sawa ni mzuri ili kumpa mtu hasira ya kufanya mambo mazuri zaidi ila pia hutegemea mtu anauchukuliaje huo ushindani.
Kila siku mnamponda dai kwa kutoa nyimbo kila wakati na zinabuma na sababu ya yote ni hizi hizi pressure, mie naamini wakitulia wakafanya mambo kwa nafasi watafanya vitu vizuri tu.
Ila Kiba upande wa management bado hapajatulia, management ni muhimu sana kwa msanii na akiwa na management mbovu hata kama ni mkali ataonekana hawezi, Kiba needs a good management
atoto, huyu inaonekana ana info za kutosha, yeye ndo alosema kuwa king yupo US anasuka kolabo, na pia leo ndo kaanzisha hii ishu, nimemwambia afunguke pm napo kimya, yaani angejua jinsi nnavyomkubali huyu kiba
hamna lolote we subiria swaumu ipite utayakumbuka maneno yangu good thing are coming from King worry out (zabibu kiba hayupo Tz guess what next) #King kiba
We abou are you okey kweli today?? Its like there is something wrong with you, okey kabla hatujafika mbali hebu tuachane na siasa tueleze sasa nini mtazamo wako katika hili??
Zabibu kama hayupo Tz ana maajabu gani ?
Yupo China anajifunza kushoot
Je ilo ndio litamuamsha Kiba ? pwilo kua serious ww mucmbomoe Kiba uku mnamuangalia mkemeeni
unajua wasaniii wapo tofauti sana msanii muislam anayefanya kazi mpaka ramadhani ni mmoja tu nadhani ushamjua ila wengne wote wamepumzika xo kiba ye anaheshimu swaumu ndo mana nimesema ngoja swaumu ipite tuone $kebekebe
Mi sichangii kitu humu cku hizi ushangai ?
Ana mipango kama balal lakini haitimizi tu
Uislam unakataza watu kuimba
Anachokifanya Kiba ni ukosefu Wa maneno linasingizia ramadhani
Hivi unafikiri akiachia cheketua video week 2 zijazo izo ngoma cjui collabo mnazolilia c zitatoka January 2016 ? Na video zake July 2016