Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaha huyo ndiye kingHimself, mkuu Abou Saydou hivi official release ya Chekecha video itakuwa lini?

Mpaka amalize kupiga tour state apate hela arudi akamalizie mkwanja ndio jamaa ataiachia mana katoa advance kule. Usishangae kichupa cha Yamoto Band Cheza kwa madoido kikawa kwa Tv pendwa yko kabla ya Chekutua
 
Last edited by a moderator:
Mpaka amalize kupiga tour state apate hela arudi akamalizie mkwanja ndio jamaa ataiachia mana katoa advance kule. Usishangae kichupa cha Yamoto Band Cheza kwa madoido kikawa kwa Tv pendwa yko kabla ya Chekutua

Punguza mchecheto madam
Bwana ako hayupo USA yupo SA
Akianza Kulipua mabomu usije dai taraka kwa pupa
 
Mpaka amalize kupiga tour state apate hela arudi akamalizie mkwanja ndio jamaa ataiachia mana katoa advance kule. Usishangae kichupa cha Yamoto Band Cheza kwa madoido kikawa kwa Tv pendwa yko kabla ya Chekutua

sasa mi hata sielewi jeuri zenu mnatoa wapi yani hapo kiba katoka kama boss diamond kaja kuomba kaziiii acheni bwana King kiba msimfananishe na wauza mitumbaa
 

Attachments

  • 1434536172977.jpg
    1434536172977.jpg
    38.7 KB · Views: 97
  • 1434536218221.jpg
    1434536218221.jpg
    31.8 KB · Views: 90
sasa mi hata sielewi jeuri zenu mnatoa wapi yani hapo kiba katoka kama boss diamond kaja kuomba kaziiii acheni bwana King kiba msimfananishe na wauza mitumbaa

Kwa hizo picha inaonyesha ni jinsi gani watu wanatofautiana akili kama huelewi haha. Tunaweza anza mbio pamoja au ukanitangulia kuanza bt mwisho unawez ukanikuta nakusubiri we ndo unamaliza.
 
Kwa hizo picha inaonyesha ni jinsi gani watu wanatofautiana akili kama huelewi haha. Tunaweza anza mbio pamoja au ukanitangulia kuanza bt mwisho unawez ukanikuta nakusubiri we ndo unamaliza.

kumbe sawa mkuuuu nimekuelewa na akijitahidi atampita mpaka davido 😀😀😀😀😀😎
 
best collable of the year kuifananisha kerewa na kiboko yangu ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu cha mchanga waombe radhi kwanza

ha ha ha ha ama kweli nyinyi ni mashabiki aisee
 
madame wamechanganyikiwa tayari wale hawana jipya kazi yao wanaanzisha thread za uongo tu KING KIBAAAAA

Thread za uwongo zinatokana na acc fake za haohao huko insta na fb.
Wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe.
KTMA mbaya sana, nimejifunza kitu kupitia wao a.k.a WAZEE WA KUKURUPUKA.
 
Thread za uwongo zinatokana na acc fake za haohao huko insta na fb.
Wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe.
KTMA mbaya sana, nimejifunza kitu kupitia wao a.k.a WAZEE WA KUKURUPUKA.

yani nifah nakwambia hivi hata diamond aokote mia tano wanaanzisha thread ila ile ya ugali ndo cjaiona mi nakwambia asipoacha sifa atarudi tandale
 
Thread za uwongo zinatokana na acc fake za haohao huko insta na fb.
Wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe.
KTMA mbaya sana, nimejifunza kitu kupitia wao a.k.a WAZEE WA KUKURUPUKA.

nifah namuonea huruma sana domo coz wenzake wote anaoshindana nao wanafanya mziki kipaji co kujulikana Davido ana degreee anafanya mziki kipaji Kiba anajua mpira kuliko kuimba 😛oint domo anategemea mziki tu halafu zarau kibao ana misifa sana yule jamaaa
 
kiba bwana anatabu sanaaa kawa mkimya hadi watu wanaogopa ukimya wake duh
 
Thread za uwongo zinatokana na acc fake za haohao huko insta na fb.
Wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe.
KTMA mbaya sana, nimejifunza kitu kupitia wao a.k.a WAZEE WA KUKURUPUKA.

yule jamaa anachonikera ni kwamba anapenda sana sifa sasa ingekuwa yy ana degreee kama davido huko instagram tungeonyeshwa vyeti kila wakati ila wenzake walaaa
 
yule jamaa anachonikera ni kwamba anapenda sana sifa sasa ingekuwa yy ana degreee kama davido huko instagram tungeonyeshwa vyeti kila wakati ila wenzake walaaa

Hahahahaaa, yeye na Le Mutuz hawana tofauti. Ndio maana kamuajiri kama afisa habari wake!
 
nifah namuonea huruma sana domo coz wenzake wote anaoshindana nao wanafanya mziki kipaji co kujulikana Davido ana degreee anafanya mziki kipaji Kiba anajua mpira kuliko kuimba 😛oint domo anategemea mziki tu halafu zarau kibao ana misifa sana yule jamaaa

Barnaba aliwahi kusema kua domo hajui kuimba kinachombeba ni ujanja ujanja tu lakini bado misukule yake inamsifu kua anajua kuimba!
Ndio maana huwa sishangai anavyoboronga kwenye hizo nyimbo zake...
Kiba anaimba muziki wa darasani, muziki wa note! Dah, raha sana kuwa shabiki wa King Ali Kiba.
 
Back
Top Bottom