Kwani unadhani hawajaelewa?? Wameelewa sana tu sema ndio sikio la kufa atiii
ukitaka kufaidi utamu wa nyimbo mpya ujao wa alikiba nenda insta account ya jamaa anaitwa jr.armylee....pale kuna kapande karefu kidoogo...post ya kwanza tu klick....chakula kitamu hunukia tokea mbalii
mornin' guys
Another dayyyy another Kikiiiii!
"Thanks baby its finally hereee!"
Walah huyo ndiyo kinkiba bwana hahahhaha raha sana mwaka huu, Dai ataelewa hakuna cha Nana wala sankoro
huu wimbo utabamba aisee. kingkiba anajua. naomba aifanye official song
Uo wimbo sio Wa kiba
Na mwenye wimbo kaususa baada ya kiba kutia vocal za hatari yaani kakimbia studio hajarudi mpaka Leo
hahahah sio mchezo. jamaa amekimbia kufunikwa kumbe
jamaa kasanda. #kingkiba anajua. nimesikia hicho kipande kidogo tu duuh hatari
Yah c unajua kiba yeye hakosei haswa kwenye collabo
Mr Ambassador
Uo wimbo sio Wa kiba
Na mwenye wimbo kaususa baada ya kiba kutia vocal za hatari yaani kakimbia studio hajarudi mpaka Leo
huu wimbo utabamba aisee. kingkiba anajua. naomba aifanye official song
Point zao ni wanaonewa wivu. Watanzania wana chuki na mafanikio yake wanataka kumshusha kinguvu.
Hivi ka ni wivu na chuki si watu wangemuonea Bakharesa sana.
Hoja zao mfu.
Uo wimbo sio Wa kiba
Na mwenye wimbo kaususa baada ya kiba kutia vocal za hatari yaani kakimbia studio hajarudi mpaka Leo
ni wa nani abou ?
Hahahaha huyo ndiye kingHimself, mkuu Abou Saydou hivi official release ya Chekecha video itakuwa lini?