Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Nikakumbuka walivyotuchambaga ile isue ya chriss brown, sasa wao walivyokurupuka leo bila kujiongeza wakaingia kichwa kichwa na kujifariji, duuuh nimecheka mpaka mdogo wangu kanishangaa ikabidi nimsimulie tujiunge kichekoni, duuuuh acha wajifariji kwakweli
Hahahahaaa, chezea tuzo 6 kati ya 7 wewe? Hapo sasa ngoja video itoke ndio watu watapanic balaaa.
Pls Kiba achia hiyo kitu kabla ya Ramadan maana utaniharibia funga yangu mie!
Siwezi kuacha kuja kusherehekea huku na nyie kabisa!