Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

Kila la kheri ,nami nimo
 
Last edited by a moderator:
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

All the best ma dia nakutakia mfungo mwema wa Ramadhan. Nitakumicje sasa ua so wonderful am happy to have u as my friend.
All the best.
 
Last edited by a moderator:
All the best ma dia nakutakia mfungo mwema wa Ramadhan. Nitakumicje sasa ua so wonderful am happy to have u as my friend.
All the best.
Acha nawaza hapa ni jinsi gani nitammiss Diva wangu acha tu.
I'll gonna miss you too darling.
 
Last edited by a moderator:
Yani so sad indeed ila no way out ndo hvo mwezi mtukufu huo. Nitakumiss hatari tuliobaki tutaliendeleza libeneke
#togetherasone
#onelove
#teamkibaforever
Ama nini? Nawaaminia makamanda.
Mind you. ..ile campaign nitaiendeleza kama kawaida dear...tena hivi siingii huku ndio niko huru balaa.
Nikiwa sina cha kufanya ni mwendo wa kuvote tu...lol
 
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

mfungo mwema my sister nifah
 
Last edited by a moderator:
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

Usisahau kunifuturisha walau chungu kimoja nitakupia namba pm.
 
Last edited by a moderator:
yani unaondoka wakati mbaya sana wakati wa furahaaa huuuu from KING KIBA ila kila la kheri tuko pamoja #Rockstar 4000 presents
Haya kwaheriiiii. Wewe ndio mtu wa mwisho kumquote, nawatakia furaha njema ya mambo ya King.
 
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

Dah! All the best kiboko ya wala ndimu,
 
Last edited by a moderator:
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

bye bye nifah...dont fogot ku vote hukohuko eh...kila lakherii
 
Haya jamani ule wakati wa kuwaaga umewadia sasa.
Kutokana na taarifa za uhakika nilizozipata ni kwamba mwezi umeandama na kwetu sisi waislam ni ishara ya kuwa kuanzia kesho mwezi mtukufu wa Ramadhan utaanza.

Mimi kama muislam nitaungana na wenzangu katika mwezi huo mtakatifu wa toba, hivyo basi...sitokuwepo humu kwa kipindi chote hicho cha toba.

Ni furaha iliyoje kupata wasaa mwingine wa kutubu kwa yale yote mabaya niliyoyatenda?
Ila kwa namna nyingine ni huzuni maana sitowasiliana wala kushirikiana nanyi humu ndani kwa kipindi chote hicho.

Nitawamiss sana marafiki zangu atoto geniveros Ms.Lincoln cute b charty Matola Abou Saydou pwilo Shardcole unanitaka The Name asubuhi sana dawa yenu Zamaulid Diva Beyonce peterchoka victor moshi Victoire best angu mito...my uncle Zamiluni Zamiluni

Na kubwa zaidi mpenzi wangu mimi, rafiki yangu...my everything Mdakuzi! O.M.G.... basi tu niishie hapa maana nobody knows what I feel!
KWAHERINI WAPENDWA, TUTAONANA TENA PANAPO MAJAALIWA YAKE MUNGU

Nusu nilie.
All the best nifah nitakumis zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom