Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Acha kabisa best, mwaka wa 2015 ni mwaka bora kabisa kwangu maana kila ninachokishabikia kimeibuka na ushindi as follows. ...
Yanga -Bingwa wa ligi kuu
Arsenal-Bingwa wa FA
Kiba- Tuzo 7!

Hivi tuzo za kiba ni 7 au 5? hebu nifafanulie vizuri best
 
Hivi tuzo za kiba ni 7 au 5? hebu nifafanulie vizuri best

Kiba alipata nominations 7 katika tuzo za KTMA, katika hizo akishinda tuzo 6 ambazo moja ni ya kushirikiana yeye na FA kutokana na ule wimbo wao wa Kiboko Yangu.
Pia usisahau ana tuzo moja bado ya TUZO ZA WATU ambako alishinda kama msanii wa kiume anayependwa....
Hivyo jumla ni 7.
 
Kiba alipata nominations 7 katika tuzo za KTMA, katika hizo akishinda tuzo 6 ambazo moja ni ya kushirikiana yeye na FA kutokana na ule wimbo wao wa Kiboko Yangu.
Pia usisahau ana tuzo moja bado ya TUZO ZA WATU ambako alishinda kama msanii wa kiume anayependwa....
Hivyo jumla ni 7.
nifah nimecheka nusu nizimie, hahahaaaaaa, nyooooo anunuliwa niniiiii? Yaani mwaka huuu mie najisikia rahaaaa watu acha wakurupuke huko walikokuwa wanaugulia, yaani duuuh Kiba utaua watu jamani taratibu!
 
Last edited by a moderator:
Kiba alipata nominations 7 katika tuzo za KTMA, katika hizo akishinda tuzo 6 ambazo moja ni ya kushirikiana yeye na FA kutokana na ule wimbo wao wa Kiboko Yangu.
Pia usisahau ana tuzo moja bado ya TUZO ZA WATU ambako alishinda kama msanii wa kiume anayependwa....
Hivyo jumla ni 7.

Hapo sasa nimeelewa vizuri best, sikujua kama alishirikiana na MwanaFA, halafu pia nilisahau hiyo ya WATU

BTW nilichungulia ule mpango wenu wa kumnyongelea mbali domo kimataifa mmh nyie nouma aisee!!! tisha sana hizi timu
 
Kiba alipata nominations 7 katika tuzo za KTMA, katika hizo akishinda tuzo 6 ambazo moja ni ya kushirikiana yeye na FA kutokana na ule wimbo wao wa Kiboko Yangu.
Pia usisahau ana tuzo moja bado ya TUZO ZA WATU ambako alishinda kama msanii wa kiume anayependwa....
Hivyo jumla ni 7.

niambie dada angu nifah upo
 
Last edited by a moderator:
nifah nimecheka nusu nizimie, hahahaaaaaa, nyooooo anunuliwa niniiiii? Yaani mwaka huuu mie najisikia rahaaaa watu acha wakurupuke huko walikokuwa wanaugulia, yaani duuuh Kiba utaua watu jamani taratibu!

Hahahahaaa, babe kanunuliwa gariiii.
Sasa wale wazee wa kukurupuka acha wakurupuke na ndimu..lol
Ila sio kosa lao, wale wana stress sasa linapotokea jambo dogo wanalikuza kama faraja kwao.
 
Last edited by a moderator:
wameandika uongo mtupu wale jamaa mkuu et ali kiba kachukua video bora no

Hahahahaaa, ndio maana hizi habari za kwenye mitandao zisizokua na source ya kuaminika hua siziamini kabisa
 
Hahahahaaa, ndio maana hizi habari za kwenye mitandao zisizokua na source ya kuaminika hua siziamini kabisa

umeskiliza wimbo mpya wa domo kama bado usiusikilize bora hata bumbum mana utajaza nafas buree
 

Attachments

  • 1434486376962.jpg
    1434486376962.jpg
    36.9 KB · Views: 97
Hahahahaaa, babe kanunuliwa gariiii.
Sasa wale wazee wa kukurupuka acha wakurupuke na ndimu..lol
Ila sio kosa lao, wale wana stress sasa linapotokea jambo dogo wanalikuza kama faraja kwao.

Nikakumbuka walivyotuchambaga ile isue ya chriss brown, sasa wao walivyokurupuka leo bila kujiongeza wakaingia kichwa kichwa na kujifariji, duuuh nimecheka mpaka mdogo wangu kanishangaa ikabidi nimsimulie tujiunge kichekoni, duuuuh acha wajifariji kwakweli
 
umeskiliza wimbo mpya wa domo kama bado usiusikilize bora hata bumbum mana utajaza nafas buree

Hahahaaaaaa!! Yeleuwiiiiiiii hizi colabo zitatoa watu roho sasa, kukurupuka kubayaaaa
 
Nikakumbuka walivyotuchambaga ile isue ya chriss brown, sasa wao walivyokurupuka leo bila kujiongeza wakaingia kichwa kichwa na kujifariji, duuuh nimecheka mpaka mdogo wangu kanishangaa ikabidi nimsimulie tujiunge kichekoni, duuuuh acha wajifariji kwakweli

Hahaaaa nimecheka Leo Mimi domo kapost kidogo wakaanzisha maneno ya kulambisha ndimu watu, mi nilijua tu ni uzushi wa kutafta kiki hizi timu zinawafanya watu wasifikirie kabla ya kupost.
At the end wamepata aibu ya mwaka ningekua mi ningefuta comments.
 
Hahahaaaaaa!! Yeleuwiiiiiiii hizi colabo zitatoa watu roho sasa, kukurupuka kubayaaaa

yani worst song ever hfu anajilazimisha kiingereza halafu hajui kitu dah ilimrad iwe kollable tuu collable za nje zote kafunikwa
 
Back
Top Bottom