Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Teh teh teh, wenzio wanaona maborit ya kwenye macho ya wenzao tuuuuuuuuu!!

mkuu yani point zao ni weak et bumbum nao ni wimbo duuuuu ngoja tuone huko sasa c ktma wamemuonea haya ngoja huko tuone itakuaje
 
mkuu yani point zao ni weak et bumbum nao ni wimbo duuuuu ngoja tuone huko sasa c ktma wamemuonea haya ngoja huko tuone itakuaje

Point zao ni wanaonewa wivu. Watanzania wana chuki na mafanikio yake wanataka kumshusha kinguvu.
Hivi ka ni wivu na chuki si watu wangemuonea Bakharesa sana.
Hoja zao mfu.
 
😀😀😀😀😀😀😀 pop it in kiba voice papireeeee yoooo dah mwakani ni nasema nawe(taarabu vs cheketua) cpat picha

Weeeee tema mate chini, cheketua sio ya kuupambanisha na hiyo taarabu kabisaaaaa!!! Hiyo iende kwa kina mzee yusuf hukoo, cheketua level nyingine kabisa.
 
Point zao ni wanaonewa wivu. Watanzania wana chuki na mafanikio yake wanataka kumshusha kinguvu.
Hivi ka ni wivu na chuki si watu wangemuonea Bakharesa sana.
Hoja zao mfu.

Na hicho wanachotulaumu nacho ndicho hicho hicho wanafanya kwa kiba sasa sijui wanataka nn tena!

Mpaka walitumia picha ya kiba yenye code za ndomo kumuombea ndomo kura ili wampiku Kiba lkn Mungu kawaumbua, pyeeeeeeee!
 
Point zao ni wanaonewa wivu. Watanzania wana chuki na mafanikio yake wanataka kumshusha kinguvu.
Hivi ka ni wivu na chuki si watu wangemuonea Bakharesa sana.
Hoja zao mfu.

mkuuu yule domo kachanganyikiwa unajua hadi kapika ugali cku ya ktma hana hamu ya pilau wala ubwabwa 😀😀😀😀😀😀😀 KING KIBAAA
 
Na hicho wanachotulaumu nacho ndicho hicho hicho wanafanya kwa kiba sasa sijui wanataka nn tena!

Mpaka walitumia picha ya kiba yenye code za ndomo kumuombea ndomo kura ili wampiku Kiba lkn Mungu kawaumbua, pyeeeeeeee!

Hunishangaza sana hii timu kutwa kumtukana Kiba eti maskini bifu na diamond limempandisha.
Wao watu wasipowasifia ni wivu chuki na husda.Kuwa timu yao hawafikirii mbali zaidi ya wivu.
Bora ukikosa wa Ku support bora hata Yamoto kuanzia Zari domo wote wana andika pumba tu.
 
mkuuu yule domo kachanganyikiwa unajua hadi kapika ugali cku ya ktma hana hamu ya pilau wala ubwabwa 😀😀😀😀😀😀😀 KING KIBAAA

Nilimuona tu usoni wakati anapika ugali wake na Zari yani ana stress za kufa mtu hana furaha kabisa. Pole yake sasa aanze kupika kauzu atie na ndimu.
 
Weeeee tema mate chini, cheketua sio ya kuupambanisha na hiyo taarabu kabisaaaaa!!! Hiyo iende kwa kina mzee yusuf hukoo, cheketua level nyingine kabisa.

mkuu kweli nimekosea aiseee hiyo itakuwa kwenye taarabu kweli :thumbup::thumbup::thumbup:
 
Hunishangaza sana hii timu kutwa kumtukana Kiba eti maskini bifu na diamond limempandisha.
Wao watu wasipowasifia ni wivu chuki na husda.Kuwa timu yao hawafikirii mbali zaidi ya wivu.
Bora ukikosa wa Ku support bora hata Yamoto kuanzia Zari domo wote wana andika pumba tu.

Vizuri vyao vibaya vyote vya Kiba na wapenzi wake, sasa wao wa ntaneshino Kiba anawauma nini? Wamuache na umasikini wake, kwani lini alikwenda kula kwao?
 
Ila ww Dada unampenda kiba haswaaaaa!!"

Asante kwa kuliona hilo...Ngoja niweke msisitizo,
Wote watamchukia Kiba ila sio mimi,
Wote wataacha kumshabikia Kiba ila sio mimi...
Popote pale alipo awe na amani tu, mimi ni bora kwakwe kuliko mashabiki 100!
Tokea nimemjua nazidi kumkubali kila siku.
 
Vizuri vyao vibaya vyote vya Kiba na wapenzi wake, sasa wao wa ntaneshino Kiba anawauma nini? Wamuache na umasikini wake, kwani lini alikwenda kula kwao?

Hii timu bwana ina vituko matusi ndo hoja zao za msingi. Kila tuzo wapokee wao wasifiwe wao wakikosolewa wataka kushushwa yani ni majaaanga tupu.
 
Hii timu bwana ina vituko matusi ndo hoja zao za msingi. Kila tuzo wapokee wao wasifiwe wao wakikosolewa wataka kushushwa yani ni majaaanga tupu.

Kwani wao wanavyotaka kumshusha kiba na kumuombea mabaya tuiite nn?? Na matusi yote wame na wanamtukana mtoto wa watu, au kiba yeye ana moyo wa chuma??

Kama wao kweli wazalendo waanze kwa kuacha kumsimanga na kumtukana Kiba kwanza ndio watuhubirie huo uzalendo wao, au Kiba ni msomali?
 
Hahahaaaaa watu wana vituko jamani khaaa!
 

Attachments

  • 1434388680504.jpg
    1434388680504.jpg
    34.4 KB · Views: 92
  • 1434388695721.jpg
    1434388695721.jpg
    62.8 KB · Views: 89
Nilimuona tu usoni wakati anapika ugali wake na Zari yani ana stress za kufa mtu hana furaha kabisa. Pole yake sasa aanze kupika kauzu atie na ndimu.

Hahahahaaa, hata mimi nililiona hilo ujue? Ule ugali unaosongwa huku uso umekunjwa vile sijui ugali gani.
 
Hahahahaaa, hata mimi nililiona hilo ujue? Ule ugali unaosongwa huku uso umekunjwa vile sijui ugali gani.

Mwenzangu I feel sorry for him. Yani ukiwa na roho nyepesi una ugua kabisa na ile picha waliyo piga kwenye sofa na bibie yuko normal ila dai hana furaha kabisa hadi nikaona huruma.
Team yake na matusi ndo wanazidi kuharibu kabisa.
 
Mwenzangu I feel sorry for him. Yani ukiwa na roho nyepesi una ugua kabisa na ile picha waliyo piga kwenye sofa na bibie yuko normal ila dai hana furaha kabisa hadi nikaona huruma.
Team yake na matusi ndo wanazidi kuharibu kabisa.

Hata huyo bibi yake Zari anamharibia kabisa.Sio kwa ile post ya jana kabisa...
Ngoja na tuone.
 
Back
Top Bottom