Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,346
Mbona unamkalia nifah kooni?
Stop being too personal, its bad for your health.
Mimi nawewe ni mashabiki tu.
Mnakazana sisi tunamchukia dai kisa sio mashabiki zake.
Sisi wachawi, maskini, hatuna akili wapuuzi, wajinga, sio wazalendo na ni wa kupigwa na kila tusi weka hapo....
Ila guess what!, HATUBADILIKI !
Wao wenye pesa,roho nzuri,wajanja,wazalendo,wenye akili nk Kiba anawaumiza nini? Kiba ni mwanamziki wa Kongo sio??? Why wanamchukia na kumtusi kila kukicha?? Nyambafu zao na wajipitishe hukooo, wanamchukia Kiba ila hawakauki midomoni mtoto wa watu hawamtakii jema kila hatua anayopiga wanatumia juhudi wamuangushe, na hawatoweza kama Mungu kapanga basi wanajisumbua, kujifanya miungu watu, chefuuuuu!
Last edited by a moderator: