Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Hahahahaaa!
Sure ni kaonesha yeye ni kilaza
Hahahahaaa!
Sio saa tatu mamii?
Hunishindi mamito,ndiomana nimekuja hapa nisikie japo sauti yako.... Nimefurahije mie!!
BACK TANGANYIKA
Kweli kabisa" kiroho kinawauma hahahah ..
Diamond mbona wanamubali sana tu na nyimbo zake lazma wazcheze sema tu wanamchukia kwakua alimwagana na wanjiru
Hahahahahah pole sana lakini ukae ukijua unajisumbua bure tu hate yako haitokaa ibadirishe chochote kwenye aloandikiwa na Sir God.
Nampenda Kiba, leo lazima atupe raha .
Natabiri kujamba jamba kwa team ndomo na kuhara hara kwa malalamiko na kuwayawaya....
Kuanzia saa tatu mamy nimezan wote tunaenda lol
MAMA 2015 - ! http://mama.mtv.com/voting/ vote for wiz & Vane &Dav.
Hamna cha domo wala nini....labla awakilishe tanzania kwa kulea mimba za watu.
I mis you too mamy.
Yaani leo nimeamka na kupiga kura tuu...alafu apa pigia michepuko yako kadri uwezavyo hamna limit kila siku tuna vote
Hata bila kiba, angechukuwa tuu...
Ila ommy vipi hana pumzi kabisa duh
Chibu 2
Kiba moja paka sasa hivi..
Mechi badooo badooo
Unaisahau collaboration