Awa watu siamini kama ni mashabiki wa Ali kiba awa ni haters wa Diamond waliojificha kwenye mgongo wa Kiba. Kiba hawezi kujivunia watu kama awa coz ata yeye akichana anga lazima watamchukia ata kutamani kumroga.
Hapo umenena mkuu, ni ajabu sana kwakweli...!