Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Bila king kiba muziki wao haujauzika bado, king kiba ndiye anayemfanya mondi kutafuta makolabo kila kukicha hahhhahaha!! Big up king kiba kwa kuboost wasanii wadogo ili walau watoke kwa makolabo

KING KIBA ni hatari mpaka christian bella kaomba wafanye collabo duh KIBAAAAA
 
Bila king kiba muziki wao haujauzika bado, king kiba ndiye anayemfanya mondi kutafuta makolabo kila kukicha hahhhahaha!! Big up king kiba kwa kuboost wasanii wadogo ili walau watoke kwa makolabo


mkuu hivi mtu anakubalika hadi na bella mtaalam wa masaut EA KIBA 4REALLY no skendo
 
Bora umwambie maana sijui amekula choroko zilichochacha anaachia tuu mishuzi bila mpangilio.
Na nitampigia kura kila mtu na sio domo kwani lazima?
Eti mkuu ni lazima kumpigia kura domo?

Hapana si lazima ,unapaswa kumpigia kura unaempenda kama hata kama ni SARKODIE we mpigie tu usisikilize kelele za vyura utapoteza mwelekeo
 
Hapana si lazima ,unapaswa kumpigia kura unaempenda kama hata kama ni SARKODIE we mpigie tu usisikilize kelele za vyura utapoteza mwelekeo

Hahahah mi nampigia davido tu safari hii naamini hawatamchakachua kama kwenye tuzo za channel o wakampa mondi. Mi nashangaa wapambe wake wanavyojishtukia na kili awards, mbona wao walimchakachua davido mwaka jana, barnaba na belle 9???
 
Bado napiga kuraa.
Domo haambulii ata ya bahat mbaya
 

Attachments

  • 1434201907496.jpg
    1434201907496.jpg
    25.8 KB · Views: 63
Yaani niache kuchagua best collabo ya davido na uhuru nichague wimbo wa bum bum ninaosikia maneno mawili mweeeee
 

Attachments

  • 1434202019348.jpg
    1434202019348.jpg
    30.3 KB · Views: 60
Vannesa namkubali kinoma haina shida atawakilisha Tanzania
 

Attachments

  • 1434202123733.jpg
    1434202123733.jpg
    26.3 KB · Views: 60
Teh teh teh kuna watu karibu wanachanganyikiwa kama nawaona vile walivyo na maumivu. Unajidanganya umpendi mtu but u care so much inabd ujifikirie mara 2 hiyo ni love or hate?



Mwenye link ya kuvote for Diamond plz niwekee hapa mie staki kuidhulumu nafsi.
 
Teh teh teh kuna watu karibu wanachanganyikiwa kama nawaona vile walivyo na maumivu. Unajidanganya umpendi mtu but u care so much inabd ujifikirie mara 2 hiyo ni love or hate?



Mwenye link ya kuvote for Diamond plz niwekee hapa mie staki kuidhulumu nafsi.

Izo link unaziulizia apa kwani kuna domo huku? Tembea na gepu
 
Izo link unaziulizia apa kwani kuna domo huku? Tembea na gepu

Teh teh teh kazi unayo mwaka huu. Wenye akili zao wanakushangaa ila siunajua tena 'mwenzao' lazima wafanye kama wanakusapoti. Ila dah that's too much unavyomchukia huyo jamaa ata akifa sijui kama utauzunika .. Kisa haswa? Pole sana ukikuwa utanieleww.
 
Teh teh teh kazi unayo mwaka huu. Wenye akili zao wanakushangaa ila siunajua tena 'mwenzao' lazima wafanye kama wanakusapoti. Ila dah that's too much unavyomchukia huyo jamaa ata akifa sijui kama utauzunika .. Kisa haswa? Pole sana ukikuwa utanieleww.

Toa unafki wako hapa ndoooorobo wewe.Nani alokuambia anamshangaa cute b? Mbona wenzie tumeanza kuvote tokea jana?
Huna habari eeh? Bahati yako device yangu nimeifanyia hard reset ningekuwekea screen shots za jana nilizompigia Wizkid.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh kazi unayo mwaka huu. Wenye akili zao wanakushangaa ila siunajua tena 'mwenzao' lazima wafanye kama wanakusapoti. Ila dah that's too much unavyomchukia huyo jamaa ata akifa sijui kama utauzunika .. Kisa haswa? Pole sana ukikuwa utanieleww.

Kwendraaa zako mwenye akili ni mimi shauri yako wew mbumbumbu. Afu haikuhusuu tembeza kengele zako uzi wa domo upo karatu kaufuate.
 
Teh teh teh kuna watu karibu wanachanganyikiwa kama nawaona vile walivyo na maumivu. Unajidanganya umpendi mtu but u care so much inabd ujifikirie mara 2 hiyo ni love or hate?



Mwenye link ya kuvote for Diamond plz niwekee hapa mie staki kuidhulumu nafsi.

Kama aina ya mashabiki wa Kiba ndo hii, sishangai akikopa pride kujengea nyumba aisee.. Na nadhan hata management yake ina akili za hivhiv... Ana kazi sana aisee...!
 
Hahahahaaa niwekee link na mimi nipige mumy.
Miss you...

MAMA 2015 - ! http://mama.mtv.com/voting/ vote for wiz & Vane &Dav.
Hamna cha domo wala nini....labla awakilishe tanzania kwa kulea mimba za watu.
I mis you too mamy.
Yaani leo nimeamka na kupiga kura tuu...alafu apa pigia michepuko yako kadri uwezavyo hamna limit kila siku tuna vote
 
Toa unafki wako hapa ndoooorobo wewe.Nani alokuambia anamshangaa cute b? Mbona wenzie tumeanza kuvote tokea jana?
Huna habari eeh? Bahati yako device yangu nimeifanyia hard reset ningekuwekea screen shots za jana nilizompigia Wizkid.

Hahahahahah unafikiri wewe nakushangaa si ndio hao hao hate mliyonayo ikiongezeka kidogo tu mnakuwa wachawi ebu pata picha ndio mngekuwa na uchawi mkononi mngemfanyaje huyo mtoto wa watu anaeangaikia mafanikio yake.

Research nyingi zinasema wanawake ndio idadi kubwa ya wachawi.. Unataka kujua why? Mifano imejaa umu umu ndani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom