Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ushamba mzigoo wa miiba, wanajulia wapi? Washazoea kuona watu wanafuatana na kukimbizana barabarani basi kwao huo ndio ubunifu na ndio video bora, hata aina za video hawazijui kazi kubwabwaja tuuuu!! Sikio la kufa hawa!

Hahahahaaa kweli nimechekaje hapo kwenye red?
Halafu kuna watu hilo hawalioni wanawaza kumpondea King tu.
 
Mwana dar ina nini ? Cku zote wachambuzi hawakosekani na kila mtu atatoa pendekezo lake ,pale ingekua hivi ,mule angecheza singeli n.k

Kiba Anakuja na ww waambie wajiandae kuandika script za kukosolea video ya kiba ijayo

tatizo hawajui aina za video. king kiba anajua ngoja tuwaoneshe
 
Hahahahaaa kweli nimechekaje hapo kwenye red?
Halafu kuna watu hilo hawalioni wanawaza kumpondea King tu.

Kazi "oooh video kaanzia chooni' kumbe wanatamani zile six... sijui nani aliwatuma wafakamie makande wavimbiwe wawe na matumbo ka fuko la chizi,badala nao wafanye mazoezi wawe vile(ila duuh hapo tu yaani king mumuache), King ni King tuu walaaa haibadili uhalisia and they know that.
 
Watajulia wapiii washazoea bongo movie saa nzima mtu yupo barabarani anafukuzana na binti movie imeisha, sasa wanajua kila video ni bongo movie, haya king kawasikia atawafanyia bongo movie eeeeh watoto wazuriiii!

hahahahah kazi kweli. tuwaache wakariri tu. sisi tufanye yetu. #kingkiba juu
 
Watajulia wapiii washazoea bongo movie saa nzima mtu yupo barabarani anafukuzana na binti movie imeisha, sasa wanajua kila video ni bongo movie, haya king kawasikia atawafanyia bongo movie eeeeh watoto wazuriiii!

Teh Teh
Mtani me nimepita kukusalimu...!
 
Watajulia wapiii washazoea bongo movie saa nzima mtu yupo barabarani anafukuzana na binti movie imeisha, sasa wanajua kila video ni bongo movie, haya king kawasikia atawafanyia bongo movie eeeeh watoto wazuriiii!

Hahahaha nimecheka balaaaaa,
 

Attachments

  • 1433482850871.jpg
    1433482850871.jpg
    44.8 KB · Views: 125
Back
Top Bottom