Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Watu washanza kuomba remix from s.a we endelea kuponda wimbo

Muuza njiwa una matatizo ya kisaikolojia. Hamna jipya hapo zaidi ya kupoteza mda wako tu. Mi ni die hard fan aisee yani unajisumbua tu tena hata akifanya colabo na Beyonce kwangu mimi naona atakua hana jipya.
 
Muuza njiwa una matatizo ya kisaikolojia. Hamna jipya hapo zaidi ya kupoteza mda wako tu. Mi ni die hard fan aisee yani unajisumbua tu tena hata akifanya colabo na Beyonce kwangu mimi naona atakua hana jipya.

Sema ivyo kumbe nilikuwa nampigia gitaa mbuzi
 
Watu washanza kuomba remix from s.a we endelea kuponda wimbo

Mkuu, hakuna wimbo uliotoka vizuri kabisa halafu ukaombwa ukafanyie remix kesho yake tu baada ya kuachiwa. DJ Maphorisa anataka akarekebishe audio kwa sababu mixing imefanywa vibaya, sauti ya Nassib haisikiki vizuri kama ilivyo sauti ya Flavour.
Sio kila kitu kiwe kwa ajili ya kufanyia ubishi, sio kila maoni yanayotolewa kwake huwa yenye lengo baya. Mikasi ya kwanza ya Ngwair (RIP) ilifanywa mixing vibaya la Ludigo, kisha Majani akairudia kesho yake na kuitoa Mikasi Remix ambayo ikabamba.
Kasikilize sauti ya Nassib kwenye Number One, kisha kasikilize kwenye Nana, Bum Bum na ule wimbo alioimba na Waje ndio utaelewa vizuri ninachojaribu kueleza hapa.
Tatizo wengi wanaamini kukosoa ni chuki dhidi ya anayekosolewa, huku ni kumjenga jamani, ndio kama tunavyomwambia akamuuguze baba yake.
Kwa sababu sitaki kurudia rudia jambo moja, naomba ukanisome vizuri kwenye uzi unaozungumzia hili suala la kuombwa kufanyia remix huo wimbo uliotoka jana tu.
Ova
 
Mdakuzi bora umewaelewesha aisee maana wao kila kitu ni ushabiki. Kiukweli diamond hakusikika vizuri kama Mr Flavour bora aufanyie remix. Sema wakiambiwa ukweli lazima uitwe haters.
 
Last edited by a moderator:
Kaongea kweli aisee to me nothing new kwenye huo wimbo. Style za kucheza ni zile zile za video nyingine. Inakua inachosha abuni uchezaji mpya hata location haina tofauti na moyo wangu hadi yale nagari. Ila pia kadesa idea ya Wanjera yule mdada kuanza kufatana ka wanabishana.
Hafu nguo alizovaa domo bana haziko vizuri za kihuni huni flani kuchana majeans.Atafte nguo za kiheshima au ana target group flani kwenye video.
Aongeze na ubunifu wa nyimbo sio kila siku yale Yale. Na uchezaji pia.


hahahhahahha....bado tu mjinyonge...manake ndimu mmemaliza zote
 
Mkuu, hakuna wimbo uliotoka vizuri kabisa halafu ukaombwa ukafanyie remix kesho yake tu baada ya kuachiwa. DJ Maphorisa anataka akarekebishe audio kwa sababu mixing imefanywa vibaya, sauti ya Nassib haisikiki vizuri kama ilivyo sauti ya Flavour.
Sio kila kitu kiwe kwa ajili ya kufanyia ubishi, sio kila maoni yanayotolewa kwake huwa yenye lengo baya. Mikasi ya kwanza ya Ngwair (RIP) ilifanywa mixing vibaya la Ludigo, kisha Majani akairudia kesho yake na kuitoa Mikasi Remix ambayo ikabamba.
Kasikilize sauti ya Nassib kwenye Number One, kisha kasikilize kwenye Nana, Bum Bum na ule wimbo alioimba na Waje ndio utaelewa vizuri ninachojaribu kueleza hapa.
Tatizo wengi wanaamini kukosoa ni chuki dhidi ya anayekosolewa, huku ni kumjenga jamani, ndio kama tunavyomwambia akamuuguze baba yake.
Kwa sababu sitaki kurudia rudia jambo moja, naomba ukanisome vizuri kwenye uzi unaozungumzia hili suala la kuombwa kufanyia remix huo wimbo uliotoka jana tu.
Ova

Kwaiyo we remix unaona inatumika kwaajili ya kufanya marekebisho 😀😀😀 baki ivyo ivyo mchambuzi wa kiba
 
hahahhahahha....bado tu mjinyonge...manake ndimu mmemaliza zote

Umeshindwa kujinyonga wewe ije kua mimi. Kumbe una take serious mambo ya music eeh. Kwangu ni minor case sana. Hajazaliwa wakunilambisha ndimu aisee labda my bebeee.
 
Mdakuzi bora umewaelewesha aisee maana wao kila kitu ni ushabiki. Kiukweli diamond hakusikika vizuri kama Mr Flavour bora aufanyie remix. Sema wakiambiwa ukweli lazima uitwe haters.

Wengine wameanza kufuatilia muziki baada ya Nassib kuanza kuimba, kwa hiyo wanamuona kama Jay Z. Wote hawa ni wasanii wetu, ndio maana naupenda huu uzi kwa sababu jana tu nilisoma humu fans wa King Kiba wakiisifu video yake Nassib, sasa ingekuwa chuki wangeisifu?

Ova
 
Kwaiyo we remix unaona inatumika kwaajili ya kufanya marekebisho 😀😀😀 baki ivyo ivyo mchambuzi wa kiba

Hadi naona aibu mimi, kwa hiki ulichoniuliza. Sasa hata sijui nianzie wapi kukuelekeza maana naona kama tuna ukuta flani wa upeo kati yangu mimi na wewe. Awali nilihisi kuna daraja la upeo kati yetu. Ila ni vizuri ukajua kama mtu hatari kabisa katika jamii ni yule ambaye 'hajui, lakini hajui kama hajui'.

Nakuwekea maelezo kidogo hapa chini, yanaweza kuwasaidia hata wengine, kama kwako itakuwa ngumu kuelewa:

A remix is a piece of media which has been altered from its original state by adding, removing, and/or changing pieces of the item. A song, piece of artwork, book, video, or photograph can all be remixes. The only characteristic of a remix is that it appropriates and changes other materials to create something new.

Most commonly, remixes are associated with music and songs. Songs are remixed for a variety of reasons:
  • to improve the fidelity of an older song for which the original master recording has been lost or degraded
  • to improve a song

Ova
 
Wengine wameanza kufuatilia muziki baada ya Nassib kuanza kuimba, kwa hiyo wanamuona kama Jay Z. Wote hawa ni wasanii wetu, ndio maana naupenda huu uzi kwa sababu jana tu nilisoma humu fans wa King Kiba wakiisifu video yake Nassib, sasa ingekuwa chuki wangeisifu?

Ova
Sijui kuimba,sijui muziki mnanidhidi kila kitu sawa basi mniache-DPlatnumz
 
Umeshindwa kujinyonga wewe ije kua mimi. Kumbe una take serious mambo ya music eeh. Kwangu ni minor case sana. Hajazaliwa wakunilambisha ndimu aisee labda my bebeee.

hahahahahhahahahahhah.....Kwanza moti moti moti sikiaaaaaaaa......Moyo wangu tiii tii tii Unakimbiaaaaaa

Ohhh nana oooh nana
 
Mdakuzi bora umewaelewesha aisee maana wao kila kitu ni ushabiki. Kiukweli diamond hakusikika vizuri kama Mr Flavour bora aufanyie remix. Sema wakiambiwa ukweli lazima uitwe haters.

Ni lini umeacha kukosoa... Badili Tecno yako na usikilize katika kifaa ambacho sio kibovu hlafu uje hapa useme anasikika au hasikiki
 
Last edited by a moderator:
Na we huoni aibu kukosoa nyimbo ya diamond wakati msanii wko kiba hajawahi kufanya video km iyo km unajua Ku shauri mshauri Ali kiba afanye video nzuri pyeee

Ingekuwa vema ungeachana nae maana hataki kuelewa... Japokuwa anajua
 
Ingekuwa vema ungeachana nae maana hataki kuelewa... Japokuwa anajua

Mwanzoni hata mimi nilikuwa natumia muda mwingi kuwaeleza ukweli na kuweka facts. Baadae nikajua kumbe nawaeleza mazamwamwa (mchuzi mix) nikaamua kuwapotezea. Namshauri aachane na hao ma x wa Diamond maana chuki zao zinatokea kitandani.

Chuki za kitandani ni mbaya sana, hasa wakati wa usiku na wa kipupwe. Frustration kwa kwenda mbele hao. Ni bora kukaa kimya kwa wana hizaya hao.
 
Hahahahaaaaaa! Na badooo mtazikana sn jinsia zenu, its just starting
 
Guys lets keep on voting, these fools aint worth our tym or even a pinch of energy, the king is and ll always be the best, (hutaki changanya makalio upotee hakuna mnunuaji hapa)

#votingvibesfortheking
 
ONYO.
nyie mnaojiita tim domo ushabiki wenu na magazeti yenu huko huko kwenu.
Mnajipendekeza huku kutafuta Papuchi hamna lolote nyie zaidi ya bla bla bla.
Kwani ni lazma tumkubali huyo domo?.
Mbona kama mnatulazimisha? Mmetumwa au? SISI TEAM KIBA KWA TAARIFA YENU KWA KIBA HATUSIKII WALA HATUONI NA KUTUBADILISHA SISI NI SAWA NA KUAMINI SHETANI SIKU MOJA ATAKUWA MALAIKA...
ivyo basi msijisumbue kutafuta umaalufu humu sisi hatuna tym na hatuelewi..
Sasa nyie vimbele mbele kama mbuzi wa mashine mnaokuja kutafuta kiki humu mkome Huku hamna papuchi za bure maana mnaokuja ni me tuu.
Uchokoz mnaanza nyie mkilabuliwa maneno mnaenda kuanzisha sred.
FANYENI YANAOWAHUSU.
 
ONYO.
nyie mnaojiita tim domo ushabiki wenu na magazeti yenu huko huko kwenu.
Mnajipendekeza huku kutafuta Papuchi hamna lolote nyie zaidi ya bla bla bla.
Kwani ni lazma tumkubali huyo domo?.
Mbona kama mnatulazimisha? Mmetumwa au? SISI TEAM KIBA KWA TAARIFA YENU KWA KIBA HATUSIKII WALA HATUONI NA KUTUBADILISHA SISI NI SAWA NA KUAMINI SHETANI SIKU MOJA ATAKUWA MALAIKA...
ivyo basi msijisumbue kutafuta umaalufu humu sisi hatuna tym na hatuelewi..
Sasa nyie vimbele mbele kama mbuzi wa mashine mnaokuja kutafuta kiki humu mkome Huku hamna papuchi za bure maana mnaokuja ni me tuu.
Uchokoz mnaanza nyie mkilabuliwa maneno mnaenda kuanzisha sred.
FANYENI YANAOWAHUSU.

We shud respect each others choices kwakweli, wasinilazimishe kabisaaa nimchukie ndomo wakati nampenda Kiba mpaka naumwa, to me Kiba is the best, n i respect ndomo's efforts ila when it comes to Kiba he is the best n he ll always be.
 
Back
Top Bottom