Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahhahahahaha nimecheka kwa nguvu hadi nyumba ya pili wamesikia!
Jamani narudia hatutaki magazeti huku maana kule jukwaani nakimbiaga hayo magazeti maana hadi kichwa kinauma kwa jinsi yalivyo marefu!
Japo siyasomagi lakini nikiyaona tu kichwa kinaniuma!

Bora na wew usisitizie maana huyu bint anashusha gazet anajaza sever
 
Halafu nimekumbuka kitu, huyu chizi data kuna sehemu nimemuona akisema Kiba fans tuna id nyingine mpya!
Huyu ana akili nzuri kweli? Hizi id's mpya za wenzao humu jukwaani hazioni? Hadi wanafungua uzi wa kutulalamikia pia haoni?
Jinga sana hili.Kiba fans tunajiamini, hatuna muda wa kufungua id's mpya ni mwendo wa jino kwa jino.

Ha ha ha ha haaaa.., i must get u.
 
Huyu naona hanijui, ngoja leo aucheze mziki wangu kidogo.
Ngoja nimpe japo dakika 20.
Na kweli kapanick mwenzangu, video kama moyo wangu ni idea zilikosekana hadi irudiwe ya Adam Juma?
Maana King wetu walisema katolea chooni, haya huyu aliyerudia je?
Ngololo zilezile, yaani in short there is nothing new.

Huyu jamaa ana mahasira yake tu alifikiri video itakua bomba sasa imekua virse versa ndo analeta mahasira yake huku.
Bora hata ya Adamu Juma ilikua bomba sana tu in short wajipange sasa.
Walivo wapuuzi eti Kiba ali Fanyia video chooni mbona na wao wameboronga vibaya sana. Bwebwe nyingi kumbe hamna kitu.
 
Wote nyie team kiba mna fake Id's zinazo mpraise Di..

Hahaaaa nyie ndo mna hangaika na I'd ka hamna akili nzuri vile hafu miandiko na magazeti inafanana yote. Ndo mana huwezi kukuta utitiri wa vi I'd ka vya kwenu kumsifia huyo domo wenu.
Yani tuwe na I'd tumsifie crocodile mouth utakua unaumwa na kichaa.
We are die hard fans of kiba.Together as one#TeamKibaForever.
 
Hahaaaa nyie ndo mna hangaika na I'd ka hamna akili nzuri vile hafu miandiko na magazeti inafanana yote. Ndo mana huwezi kukuta utitiri wa vi I'd ka vya kwenu kumsifia huyo domo wenu.

Nisaidie nimpate nifah .. Nakufuata PM.
 
Last edited by a moderator:
SHABIKI MWENZENU HUYU, MWENZENU ANAJIELEWA.
sawa lakini hiyo haimaanishi Kiba mbovu ingawa ana matatizo yake yanayotukwaza sisi mashabiki wake!mi sio shabiki maandazi!!domo yuko juu kikukweli hata the way anavofanya kazi unaona kabisa huyu sasa anahama hizi level za kibongo bongo!... nikuambie kitu?? wakati domo anavuka boda kufanya shooting kali kama hizo, Leo Kiba alikua pale viwanja vya benjamini Mkapa anacheza ndondo na watoto wa mtaani!!... kaniboa kweli huyu jamaa leo!! upo bize na ndondo halafu unataka kupambana na domo kwenye mziki??
 
Hili family la fans wa King Kiba utalipenda tu linavyopelekesha watu humu JF.
Habari zenu wapendwa? Naona mnavyojitahidi kuwapa elimu vilaza, poleni na hongereni sana.
Ova
 
sawa lakini hiyo haimaanishi Kiba mbovu ingawa ana matatizo yake yanayotukwaza sisi mashabiki wake!mi sio shabiki maandazi!!domo yuko juu kikukweli hata the way anavofanya kazi unaona kabisa huyu sasa anahama hizi level za kibongo bongo!... nikuambie kitu?? wakati domo anavuka boda kufanya shooting kali kama hizo, Leo Kiba alikua pale viwanja vya benjamini Mkapa anacheza ndondo na watoto wa mtaani!!... kaniboa kweli huyu jamaa leo!! upo bize na ndondo halafu unataka kupambana na domo kwenye mziki??

Shabiki mwenzenu huyu ye anajielewa....
 
Ni wa kupuuzwa hawa mtu wao katoa wimbo badala waende huko wanakuja na I'd mpya huku. Waswahili ni shiiiider tu.

Yaaan na kiswanglish chak cha google translate hana chochote.
Wanapaniki utazani iyo video sisi ndo tumefanya iwe mbaya
 
Halafu nimekumbuka kitu, huyu chizi data kuna sehemu nimemuona akisema Kiba fans tuna id nyingine mpya!
Huyu ana akili nzuri kweli? Hizi id's mpya za wenzao humu jukwaani hazioni? Hadi wanafungua uzi wa kutulalamikia pia haoni?
Jinga sana hili.Kiba fans tunajiamini, hatuna muda wa kufungua id's mpya ni mwendo wa jino kwa jino.

Huyu naye ni wale wale wasiojiamini Mpaka waje na I'd mpya hafu miandiko ile ile wqkifikiri tutaenda kukoment Uzi wao wameona kimya wamekuja huku. Aisee wanaume wengine wa uswahilini ebu tuwatupie kwenye dustibin. Wako kwenye heat period ndo mana wana hasira.
 
Back
Top Bottom