Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Usijali Shardcole, tuko pamoja na tutafanya hivyo bila wasiwasi.
Sisi kazi tu mapovu tuwaachie majirani zetu.
Vipi umeona hiyo link hapo juu aliyoweka cute b ya kumpigia King Kura kwenye tuzo za inspiration sijui...

Nishamsogezea karibu mamy asipate tabu kui tafuta
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimeshampigia kingKiba kura katika category zote 7, kwa njia ya sms.

Bado najitahidi nitumie na simu nyingine nipige kura zaidi, nawasihi fans wote wa Kiba tuhakikishe tunapiga kura, tupende kwa vitendo jamani.

Sana tu, yaani mie kila siku lazima kwenye simu zote, ya madogo pia natia vocha ni mwendo wa kupiga tuuuu, na hivyo ni cheap sasa! Ati mia5 unapiga category zotee, na nikishika simu yako kama ina salio basi huna bahati
 
Achana na hii michele michele inayoshinda huku na sisi.Wanaume wa shoka wako zao busy hata kuwaona huku ni kwa nadra na wana heshima zao bwana.
Mwanaume wa hivyo namheshimu sana, ila ninayeshinda nae heshima itoke wapi?

Yaani ni balaa tupu, kutwaaa wapo humu na maneno yao sasa mara "pyeeeee,ni shidaaa,unalooo,n.k" hv kweli hayo ni maneno ya mwanaume kuongea, Kiba anatusua wewe janaume zimaa umekalia kupiga majungu humu badala uhangaikie maendeleo yako.
 
Yaani ni balaa tupu, kutwaaa wapo humu na maneno yao sasa mara "pyeeeee,ni shidaaa,unalooo,n.k" hv kweli hayo ni maneno ya mwanaume kuongea, Kiba anatusua wewe janaume zimaa umekalia kupiga majungu humu badala uhangaikie maendeleo yako


Hhahahahahaaa nimecheka sana kwakweli! Hii ni aibu kubwa sana.
 
Nishamsogezea karibu mamy asipate tabu kui tafuta

Wewe tena mpenzi? Ndio maana nawapenda sana Kiba Fans wenzangu.Hata tukosane vipi hatugombani hadharani tunavumiliana kama ndugu.
Mmeifanya JF kuwa sehemu salama ya kuishi.
♥♥♥ Kiba Fans ♡♡♡
 
Wewe tena mpenzi? Ndio maana nawapenda sana Kiba Fans wenzangu.Hata tukosane vipi hatugombani hadharani tunavumiliana kama ndugu.
Mmeifanya JF kuwa sehemu salama ya kuishi.
♥♥♥ Kiba Fans ♡♡♡

Kudosssssss!
 
Kiukweli Le Mutuz mtu wa ajabu sana.Hata hivyo tumuache tu maana alishasema hakuna wa kumbadilisha.
Hivi ulishaona caption zake za usiku kabla hajalala...
Eti kiss ni MUAHAAAAA! Uwiiiiii jamani nachekaga aje sasa?

Umeelewa kwanini hili kubwa jinga le mutuz huwa linanikera sana!
Dougiemasta anavomchambaga sawa sawa tu.
Kubwa zima linasaka umaarufu kupitia mgongo wa Kiba.
Mazafanta
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha shoga hiyo biashara ya samaki ilikuwaje?
Huyu nae alikua na biashara kumbe? Basi alijitahidi sio sawa na wanaume suruali wanaoshinda JF na sisi watoto wa kike.

Eee, hapo hapo alijitahidi sana kujitangaza ooh nauza samaki....mazafanta nani anunue minyoo ile!
 
Mmmmmmh
 

Attachments

  • 1432815678829.jpg
    1432815678829.jpg
    22.8 KB · Views: 60
Yaani ni balaa tupu, kutwaaa wapo humu na maneno yao sasa mara "pyeeeee,ni shidaaa,unalooo,n.k" hv kweli hayo ni maneno ya mwanaume kuongea, Kiba anatusua wewe janaume zimaa umekalia kupiga majungu humu badala uhangaikie maendeleo yako.

Kubwa kuliko yoteee mwanaumr anasema atawarambisha ndimu!
Can u imagine hayo maneno from a man!
 
Kubwa kuliko yoteee mwanaumr anasema atawarambisha ndimu!
Can u imagine hayo maneno from a man!

Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?
 
Yaani ni balaa tupu, kutwaaa wapo humu na maneno yao sasa mara "pyeeeee,ni shidaaa,unalooo,n.k" hv kweli hayo ni maneno ya mwanaume kuongea, Kiba anatusua wewe janaume zimaa umekalia kupiga majungu humu badala uhangaikie maendeleo yako.

Hahaaaaa hafu ni muuza njiwa sasa badala afanye kazi ni kuhangaika Na Ali Kiba.
 
Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?

Ndo mana sipendi vitabia vya kiswahili Swahili. Tena mwanaume mzima na maneno ya shombo bora ingekua hata mwanamke sijawahi kuona mwanamziki ana uswahili hivi unachamba mashabiki hadharani eti Mara maumivu yakizidi kamwone daktari really! Ya kuwaambia mashabiki hayo. Na yeye ataanza kuzila hizo ndimu ndo atatia akili.
 
Back
Top Bottom