Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Icho n kiswagilishi ckwamba cjui n ni prove kila mtu anakosea ndo maana hata waziri mkuu alisema naunga mkonyo badala ya mkono

Ndo maana nakuita kilaza namba moja yule ni waziri mkuu? Yaan hata waziri mkuu wako humjuii...hata wazee vijijini ambao hawakuijua shule wanakuzidi...nakukemea we ni pepo toka humu..pita 👉
 
Ndo maana nakuita kilaza namba moja yule ni waziri mkuu? Yaan hata waziri mkuu wako humjuii...hata wazee vijijini ambao hawakuijua shule wanakuzidi...nakukemea we ni pepo toka humu..pita 👉

Katika jina la Yesu na wote tuseme Aimeeeeen!
 
YAaan palikuwa na michambo ya hali ya juu na alitoa post ya msamaha sema mods wamefuta

Hebu sema vizuri tukuelewe mumy.Ndio ile aliyosema kama ametukwaza tumsamehe au kulikua na nyingine?
 
Hebu sema vizuri tukuelewe mumy.Ndio ile aliyosema kama ametukwaza tumsamehe au kulikua na nyingine?

Yaani huyo bibie nahisi mood swing zote za huu ujauzito wangu mchanga zingeanza nae! Teh!

Bora tu vile uzi umecloziwa maana ningehakikisha namkera vizuri ili siku akinimention basi iwe ni penye maana.
 
Yaani huyo bibie nahisi mood swing zote za huu ujauzito wangu mchanga zingeanza nae! Teh!

Bora tu vile uzi umecloziwa maana ningehakikisha namkera vizuri ili siku akinimention basi iwe ni penye maana.

Wapuuzi tu wale kitu kikiwashinda wanakuja na id's tofauti hafu miandiko inafanana yote na magazeti marefu hafu wanajipa hadi shift. Wanachekesha sana.
 
Yaani huyo bibie nahisi mood swing zote za huu ujauzito wangu mchanga zingeanza nae! Teh!

Bora tu vile uzi umecloziwa maana ningehakikisha namkera vizuri ili siku akinimention basi iwe ni penye maana.

Hahahahaaaa! Mods nao sijui kwanini wanawaendekeza watu kama hao.
Ilitakiwa waunganishe id's zake tu tumjue ni nani.
 
Hahahahaaaa! Mods nao sijui kwanini wanawaendekeza watu kama hao.
Ilitakiwa waunganishe id's zake tu tumjue ni nani.

Hapo sasa!!
Siku hizi kina invisible wapole sana, kuna kipindi watu walikuwa wanaumbuka humu hatariii.
 
Show zetu izo hapo next naomba n ratiba ya kiba plz
 

Attachments

  • 1432743769773.jpg
    1432743769773.jpg
    44.8 KB · Views: 67
Ukiachana n shoo za south Africa, Nigeria, Ghana, Cameron, Togo, n Angola pia izo n za bongo Moshi date 24/7/2015 tanga 8/8/2015, chekecha cheketua tour imeishia wapi Ali sema Tanzania nzima atatembea 😀😀 angojea ela za kili awards aendelee:what:
 

Attachments

  • 1432743910830.jpg
    1432743910830.jpg
    45.4 KB · Views: 59
Ukiachana n shoo za south Africa, Nigeria, Ghana, Cameron, Togo, n Angola pia izo n za bongo Moshi date 24/7/2015 tanga 8/8/2015, chekecha cheketua tour imeishia wapi Ali sema Tanzania nzima atatembea 😀😀 angojea ela za kili awards aendelee:what:

Ebu nifundishe jinsi ya kufungua id mpya nisijulikane nataka nikawachambe team domo
 
Back
Top Bottom