Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mbona unajipaisha sana we nyau?
Una pesa gani wewe appoh?!! Nyambafff usitake kuzingua watu alaaaa!!

Kutoka kwenye ugali na kachumbali hadi chips dume na soda vya kugongea hapo ndo umeadvance sana!

😀😀😀 aiseee umenichekesha
 
Kanunua feki??? Hahahhhhaaaa we si ulisema jana anavaa orijinale tu?? Ole wake na zile ndula zenye lebel ya.yeezy kama ni feki mbona atamtambua?? Hahahaaaaaaaaaaaa mbona kabadilisha post sasa kaandika stylist hahahhahah! Wazee wa DNA

Kitu original mtavaa sana nguo za mdosho kariakoo
 
Bora sie twavaa kariakoo,kuliko nyie mchina na kudai mnavaa vitu vya US hahhahahah chezea feki wewe, haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaa

Et feki muambie aka shtaki mbona ana bwajaja insta huyo designer hadi anaandika kiswahili kapanic
 
Masanja nae kaongea yke stop hating kwny ukweli tuongee ukweli
 

Attachments

  • 1432526317190.jpg
    1432526317190.jpg
    57.7 KB · Views: 70
Aisee yaan mtu yupo marekani ana gombania shati la mtoto wa tandale ka design yeye aisee halafu huyu designer anavalishaga august alsina cjui mnamjua huyo msanii august 😀
 

Attachments

  • 1432526595110.jpg
    1432526595110.jpg
    73.1 KB · Views: 88
Ooh roperrope the designer wa Yale mashati anayo vaaga diamond kamuweka chibu wcb hatuvai feki
 

Attachments

  • 1432539503021.jpg
    1432539503021.jpg
    42.2 KB · Views: 65
Kujeni hapa designer wenu kaongea ooh wapi timu mikono kapigeni miswaki maana Jana mmeongea #no fake zone
 

Attachments

  • 1432539590981.jpg
    1432539590981.jpg
    61.5 KB · Views: 62
Kujeni hapa designer wenu kaongea ooh wapi timu mikono kapigeni miswaki maana Jana mmeongea #no fake zone

Tumia akili hapo kuna kitu kimefanyika sio bure why huyo jamaa firstly alisema kua hajatengeneza hyo product halaf baadae aseme ni yake...nyie timu domo weng ni mambumbumbu sie tushaelewa hapooo..hamna jipyaaa
 
Tumia akili hapo kuna kitu kimefanyika sio bure why huyo jamaa firstly alisema kua hajatengeneza hyo product halaf baadae aseme ni yake...nyie timu domo weng ni mambumbumbu sie tushaelewa hapooo..hamna jipyaaa

We ndo utumie akili so jamaa wa marekani kaamua haki yke ipotee huyu ana wavalisha hadi wakina miley n august bhn
 
We hujui English soma alishondika huyu roopers

Mtabakii ivyo ivyo jamaa ndo kajua nguo yke imevuka boda east Africa that y kaandika vile n ile comment yke ya kuibiwa kaifuta acha kupingana n ukweli
 
Mtabakii ivyo ivyo jamaa ndo kajua nguo yke imevuka boda east Africa that y kaandika vile n ile comment yke ya kuibiwa kaifuta acha kupingana n ukweli

We jamaa yaan kilaza saana ina maana wakat anapost za mwanzo kua ni fake hakujua kua ni nguo alotengeneza yeye haiji kwa kichwa
 
Mtabakii ivyo ivyo jamaa ndo kajua nguo yke imevuka boda east Africa that y kaandika vile n ile comment yke ya kuibiwa kaifuta acha kupingana n ukweli

Then we mbwiga me sibishani tena na vilaza wa darasa la pili D...wahi karume ukapige debe la mitumba utakosa hela ya pango ya kibanda chako cha njiwa...
 
Back
Top Bottom