Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Me sijazungumzia mafaniikio na zungumzia ufaham wa kujenga hoja!unaweza ukawa tajir lakin fikra 0..mshukuru mungu umeokota hizo hela ingekua ni kwa kutumia akili yako ungekua kimboka

Aya nitafuta
 
Me sijazungumzia mafaniikio na zungumzia ufaham wa kujenga hoja!unaweza ukawa tajir lakin fikra 0..mshukuru mungu umeokota hizo hela ingekua ni kwa kutumia akili yako ungekua kimboka

Asante na nimetoka insta sasa hivi designer kasema hiyo sio product yake bali wamebandika label yake tu.
Na ni kweli hilo suala ni illegal basi tu watu wanaleta ushabiki wa kipuuzi hadi kwenye masuala yaliyo wazi kama hili.
 
Bora umeliona hilo mwaya.Kubishana na hili taahira ni kupoteza muda tu.
Ona linavyoumbuliwa hapo....nachekaje sasa? Eti linasema litafuta huo ujinga wake!
Hahahahahaha

Naona tumpotezee tu apost hakuna Ku mu quote wala nini hata apost nini apeleke kwenye Uzi wa domo huko. Ukimjua mbwa jina wala hakusumbui.
 
Jamani wazima humu?
Naona mmeingiliwa na mwendawazimu?
Nasema iviiiiii Kibaaa kiboko yao na bado mwaka huu mtatiwa sana vidole vya m.induku....
 
Nafanya yangu kama hiviiiiii
 

Attachments

  • 1432489156169.jpg
    1432489156169.jpg
    59.9 KB · Views: 99
Ila mna mblame diamond kwan yeye ndo katengeneza yeye kanunua hajatengeneza ila nguo yeye

Kanunua feki??? Hahahhhhaaaa we si ulisema jana anavaa orijinale tu?? Ole wake na zile ndula zenye lebel ya.yeezy kama ni feki mbona atamtambua?? Hahahaaaaaaaaaaaa mbona kabadilisha post sasa kaandika stylist hahahhahah! Wazee wa DNA
 
Me sijazungumzia mafaniikio na zungumzia ufaham wa kujenga hoja!unaweza ukawa tajir lakin fikra 0..mshukuru mungu umeokota hizo hela ingekua ni kwa kutumia akili yako ungekua kimboka

Mkuu huyo dogo wa maji machafu hela aitoe wapi??? Thubutu yake!!
We huko huna watu wa IT ukamuona anavyoishi kwa "asante mama Amina mihogo miwili na kachumbari nimeshiba"??? Lol

Huyo lofa tu utajiri atausikilizia redioni!
 
Mkuu huyo dogo wa maji machafu hela aitoe wapi??? Thubutu yake!!
We huko huna watu wa IT ukamuona anavyoishi kwa "asante mama Amina mihogo miwili na kachumbari nimeshiba"??? Lol

Huyo lofa tu utajiri atausikilizia redioni!

Haa haa 😁😂 wazee wa pasi ndefu baada ya mihogo miwil asubuh tukutane tena usiku kabla ya kulala....
 
King Hauna nyumba kudadeki utapanga sana hadi mie nimemzidi n mjengo wng haaaaah

Umemzidi ushambenga tu manineeer...mbona unatapa tapa sana?? Mxiiiuuuuu
Una nini cha maana mjini tukutathmini? Ovyooo

Ebu ingia kwenye acc ya channel ten katika mahojiano ya Kiba na Salma msangi uone huo mjengo kipindi unajengwa?
Sina muda wa kukuelezea we mwenye pua kama Kikaragosi cha masoud kipanya maana kipindi hicho hata tv kwenu hamkuwa nayo!!

Ooh tuzo king anapanga nyumba hadi Leo hadi mie namzidi n mjengo wng haaah
 
Mkuu huyo dogo wa maji machafu hela aitoe wapi??? Thubutu yake!!
We huko huna watu wa IT ukamuona anavyoishi kwa "asante mama Amina mihogo miwili na kachumbari nimeshiba"???

Huyo lofa tu utajiri atausikilizia redioni!

😀😀😀 maskini utawajua tu
 
Back
Top Bottom