Ali Kiba Fans' Special Thread...

nifah dada mwenyewe ndo huyuuuu?
 

Attachments

  • 1432384524039.jpg
    16.6 KB · Views: 88
Last edited by a moderator:
Haya sasa tuangalie yajayo sasa tunaomba tuliimarishe taifa la wana cheketua, kwanzia leo mpaka siku ya tuzo za KTMA ni kupiga kura tuu. Yaan ukipanda daladala chukua simu ya majiran muombe kutuma mesej afu piga kura. Hapa ni mwendo wa kushinda tuzo zoooote. Asanteni
 

Oyooooooo pamoja mkuuu.........
Siku ya KTMA ni lini?
 
Nilisoma mahali eti kamtumia domo wapelelezi ....

Shoga hebu umwage huo ubuyu vizuri basi? Na atakoma na hashuo zake.Mwanaume anapelelezwa tokea lini?
Bora angekua mwingine ila sio domo pasua kichwa.
 
Hata mi nilijua tu hakuna kudumu. Nikasema nisiongee sana nisije onekana hater. Yani yule ni kiboko aisee aliona mbali kwa darubini Kali.

Mimi je? Niliamua tu kukaa kimya ila moyoni nilimkubali yule jamaa kua kaongea fact...
Domo ni bado kijana isitoshe alikulia kwenye maisha ya kimasikini sasa pesa kazipata lazima afanye starehe.
Hawezi kua hubby material yule.
 

...............kama halipo laja!!
Na ivumayo sana.....???

Dah ngoja tusubirie, msemakweli ni muda.
 
Shoga hebu umwage huo ubuyu vizuri basi? Na atakoma na hashuo zake.Mwanaume anapelelezwa tokea lini?
Bora angekua mwingine ila sio domo pasua kichwa.

Kumbe hujapata huo ubuyu eeee....ngoja nika cupture kule insta
 
Ndie huyohuyo shoga! Hatariiii japo bado mambo hayathibitika...
Naona domo kachoka wasichana kahamia kwa wamama maana nasikoa huyu nae ana watoto watatu!
Angekua Kiba mbona tungekoma?

Fact wamama wanajuwa mambo na wana utamu wake. Raha ya mechi bao vitoto visivyojuwa utamu wa kukojoa vinaendekeza pesa tu.
 
Aiseee diamond ana ela embu pigeni hesabu kalipa elfu 10 kwa boda boda hao aiseee nyie cjui account ya kibwa inasoma tshs ngapi

Weee mburula angekuwa na hela angehangaika na matamasha bila kupumzika?? Hhahahahha. Bodaboda zimekodiwa na jembe, msukuma mwenye sifaaaaa hahahahah
 
Mbona kiba alikodisha watu kumzomea diamond fiesta n kwny TIGO music concert walikuwepo walivyo anza kuzomea wakawa wanarushiwa elfu 2 n diamond mashabiki wa kiba wakanza kumshangilia diamond mnajaa sn km msanii wenu kiba

Sasa unaanza kuingia laini kuwa bodaboda zimekodishwa safiiiiiiii! Leo acha tujae tu bana, tunywee kwani tumekosa tuzo???
 
Code si ndo hizi hizi au zimebadilika??Now nipo home place ni mwendo wa kuvote tu!!

 
Last edited by a moderator:
Hahahhahaahah sasa jifikirie video hakuna na mmepigwa bao, hahahahhaha hiyo ni audio nyi hangaiken kutoa video kila siku wakat si tunachekechaaa hahahahaha rahaaaaa

Hahahaaaaa leo raha sana jamani wakuja na wahame!

Sasa unaanza kuingia laini kuwa bodaboda zimekodishwa safiiiiiiii! Leo acha tujae tu bana, tunywee kwani tumekosa tuzo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…