Mi shabiki damu wa diamond, na ukweli usiopingika, huyu jamaa upande wa kuchuja kipi aongee na kipi asiongee ni tatizo kubwa saana kwake na kusema kweli inamcost saana mpaka hivi sasa, Mfano hata kwa gazeti hilo la juzi kusema jokate ni makombo "hata kama hakuongea wamensingizia, ni ngumu mtu kuamini hivyo ukilinganisha na tabia aliyozoeleka nayo"
Kikubwa zaidi siku zote wanawake wana nguvu kubwa saana ya influence, hata ukiangalia tu kwenye mitandao ya kijamii huwezi kufananisha na wanaume, So linapokuja suala la kuwa tofauti nao lazima usumbuke saana... Nadhani akizidi kupata fundisho in a hard way kama kukosa tuzo za kili hiviii na alikiba kuzidi kufanya vizuri inaweza ikaanza mbadilisha... ✌✌✌ one love Team kiba
dah ila maneno makavu mpunguze kidogo sio poa