Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hii ni zaidi ya adhabu.Na mimi kutumia website sipendi balaa.
Sasa hivi hata siipendi tena JF!

Kweli mamy ila mm japo sipati ila naenjoy coz nikiingia naangalia kweny participate naangalia zote nilizo changia kama nimejibiwa .... jaribu hiyo mbinu
Ila pia mm mtu aki niquote ujumbe unakuja kwa screen but ukienda kwet notc sikuti
 
Where z kiba et king the nation doesn't know you haaaah
 

Attachments

  • 1432140086650.jpg
    1432140086650.jpg
    37.6 KB · Views: 69
Naomba majina ya Tanzania icons plz

Naomba majina ya waliochagua hao icons hahahhahha, angalia nyuzi zote humu JF kuhusu domo kuwa icon mbatata, then utapata jibu. Ma icon wanaotambuliwa na wabongo katika muziki ni kina marijan rajabu, mzee gurumo, bi kidude. Hao hawahitaji kikundi cha watu kumi kuwachagua, ila tunatambua kazi zao, icon ambaye hana tone ya muziki inayoeleweka, leo kaimba kinaija, kesho twaarabu, keshokutwa bongo flavor, hhahhahahahahhahahahaah! Mwaka mbaya sana huu kwa domo
 
Naomba majina ya waliochagua hao icons hahahhahha, angalia nyuzi zote humu JF kuhusu domo kuwa icon mbatata, then utapata jibu. Ma icon wanaotambuliwa na wabongo katika muziki ni kina marijan rajabu, mzee gurumo, bi kidude. Hao hawahitaji kikundi cha watu kumi kuwachagua, ila tunatambua kazi zao, icon ambaye hana tone ya muziki inayoeleweka, leo kaimba kinaija, kesho twaarabu, keshokutwa bongo flavor, hhahhahahahahhahahahaah! Mwaka mbaya sana huu kwa domo

Weye wasema ila ndo ivyo kashandikwa kwa vitabu vya jamuhuri ya Tanzania he is among the icon of you're nation whether you like it or not
 
Jamani Diva Beyonce kwanini umefunga pm yako? Kwa hasira na mimi nikiamua nitafunga sikubali!Nilikua nakutafuta kwa mbwembwe....looh!
Ila ninavyopenda umbea sijui kama nitaweza!
 
Last edited by a moderator:
Jamani Diva Beyonce kwanini umefunga pm yako? Kwa hasira na mimi nikiamua nitafunga sikubali!Nilikua nakutafuta kwa mbwembwe....looh!
Ila ninavyopenda umbea sijui kama nitaweza!

Shoga angu nimeona pm yake mbona ma dia unaweza funga ila kwa mtu unaye mutaka haumfungii@nifah.Hafu notification bado zinasumbua Mpaka nije kwenye Uzi ndo naona.
 
Last edited by a moderator:
Shoga angu nimeona pm yake mbona ma dia unaweza funga ila kwa mtu unaye mutaka haumfungii@nifah.Hafu notification bado zinasumbua Mpaka nije kwenye Uzi ndo naona.

Afadhali umenifungulia tu tuendelee kupashana habari kwa raha zetu.
Notifications bado ni tatizo mods hawafuatilii hilo wanachojua ni kufuta comments zangu tu.
Yaani nakerekwa balaa.
 
Afadhali umenifungulia tu tuendelee kupashana habari kwa raha zetu.
Notifications bado ni tatizo mods hawafuatilii hilo wanachojua ni kufuta comments zangu tu.
Yaani nakerekwa balaa.

At least mwenzangu ubuyu kama kawa aisee. Mi sasa inakuja hasa mtu akini quote. Wamefuta comments zipi tena.
 
At least mwenzangu ubuyu kama kawa aisee. Mi sasa inakuja hasa mtu akini quote. Wamefuta comments zipi tena.

Heri yako mimi sioni kabisaaa...ila notifications nimeziweka off sitaki alert nataka nizikute hukuhuku.
 
Acha tu cute b...nitafurahi sana King akichukua tuzo jamani!
 
Last edited by a moderator:
Ubuyu ........ nifah nenda jukwaa la complaint kule kuna mtu anakuita

Shoga yule ni timu mondi kaja na I'd nyingine kutusakizia uzushi kwa vile hstushabikii timu yake. Mpuuzi kweli yule sasa anataka wote tufanane kukomenti. Kanichekesha sana.
 
Last edited by a moderator:
Shoga yule ni timu mondi kaja na I'd nyingine kutusakizia uzushi kwa vile hstushabikii timu yake. Mpuuzi kweli yule sasa anataka wote tufanane kukomenti. Kanichekesha sana.

Hana lolote afu pale katutaja sisi team kiba tuu visaa....
 
Back
Top Bottom