Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Saivi dawa ni kutokumjibu.. au tumwambie alieanzisha huu uzi amweke kwenye ignore list maana sasa kana kera na mipicha yake ya wanyama pori

Wanamuogopa sana Ali Kiba, hofu ya jiji , mtu anitajie kitu kimoja tu ambacho Diamond amemzidi Ali, kimoja tu
 
Wanamuogopa sana Ali Kiba, hofu ya jiji , mtu anitajie kitu kimoja tu ambacho Diamond amemzidi Ali, kimoja tu

Unazani atakuambia kingine tofauti na daimond kamzidi alikiba domo tuu.... ila vitu vingine wanajua wazi hamna
 
Unazani atakuambia kingine tofauti na daimond kamzidi alikiba domo tuu.... ila vitu vingine wanajua wazi hamna

Et domo tuzo vp, Ali kiba ivi anaendesha gari gani,? State house haujaiona vp instagram nani ana followers wengi we cdhan km hata darasa LA 7 ulimaliza sibishani n watu wasiokuwa n elimu pyeeeee nimekuona huna elimu leo
 
Tuzo, gari, nyumba c nyumba mlango mbovu teke moja ushafunguka, vp ana jiita king Instagram ana followers wangapi n diamond VP, mafanikio ya kimuziki nani yupo juu twendeni kisomi kwa fact no matusi hapa mtu mwny elimu huwa hatukani ovyo angalia post yng hata moja km utakuta tusi akili kubwa n pia nimewazidi hadi nyie mashabiki wke kwa kila kitu
 
Tuzo, gari, nyumba c nyumba mlango mbovu teke moja ushafunguka, vp ana jiita king Instagram ana followers wangapi n diamond VP, mafanikio ya kimuziki nani yupo juu twendeni kisomi kwa fact no matusi hapa mtu mwny elimu huwa hatukani ovyo angalia post yng hata moja km utakuta tusi akili kubwa n pia nimewazidi hadi nyie mashabiki wke kwa kila kitu

Taja moja, moja tu mbona hujiamini?
 
Et domo tuzo vp, Ali kiba ivi anaendesha gari gani,? State house haujaiona vp instagram nani ana followers wengi we cdhan km hata darasa LA 7 ulimaliza sibishani n watu wasiokuwa n elimu pyeeeee nimekuona huna elimu leo

Mbona unaruka ruka kama maharagwe yanayoiva , jibu swali au umezoea kubishana?
 
Jamani wakija msiwatukane, waelimisheni kwa maana sio kosa lao, ninafahamu fika kuwa erick shigongo anaupoteza umma wa tanzania kwa magazeti yake na habari zake, tuko hapa kwa ajili ya kuelezana ukweli na si habari za magazetini, kama hujui chochote kuhusu ali kiba uliza, utajuzwa hapa hapa, nasisitiza tena kua wakija hata kishari msiwatukane kwa maana hawajui walitendalo bali wanatakiwa waelekezwe naam baada ya muda wataelewa na kuamini
 
Mbona unaruka ruka kama maharagwe yanayoiva , jibu swali au umezoea kubishana?

Diamond ana tuzo 15 za Kili awards, tuzo 8 za nje ya nchi Ali kiba na uhakika hata 7 za Kili hana leteni ushaidi
 
Halafu nimeangalia wikipedia cjampata Ali kiba hatambuliki tafuteni mtu andike article yke yoyote ajitoleee maana n aibu unajiita king tukiangalia wikipedia hamna information yoyote kuhusu king
 
Nangojeeea data zenu za tuzooo tunanza kufanya countdown kwa fact kuwa diamond n icon wa Tanzania hata kitabu cha ma icon kilicho zinduliwa cku ya muungano diamond yupo n marehemu kanumba ampumzike kwa amani ila nashaangaa king hakuwekwa
 
Inawezekana ww ndo chizi una mfanishaje diamond n kiba kiba ashidane n wakina rich makoko, baraka da prince, best naso sie tupo international

Kama unawashwa kijambio mabasha tupo kuwa muwazi tu.
 
Kama unawashwa kijambio mabasha tupo kuwa muwazi tu.

Ww tumia akili acha matusi twende kisomi n kwa fact me nasema diamond yupo juu ya kiba na vielezo vyangu vp we kwann unasema kiba yupo juu ya diamond
 
Matola naomba ututolee hili bwabwa hapa maana tunakumiss sana wewe ndio unawawezeaga hawa wajinga wajinga.

My dear nivumilieni kidogo nitakuwa na muda mwingi siku si nyingi hawa mikundu wote watasalimu amri. Thread yao imechoka kuliko hata uchovu wenyewe. Watachambia hamira mwaka huu kumanjenje.
 
Last edited by a moderator:
Subiri wakija nitakuita.Hivi unapiga kura lakini?

Hahaha nimepiga ndugu yangu, nafahamu pia kama tayari.ameshashinda, idadi ya wanaompenda ni kubwa mno,
Wengine wanajificha wengine wameamua kuwa wazi, sisi tunaona hayo
 
Nangojeeea data zenu za tuzooo tunanza kufanya countdown kwa fact kuwa diamond n icon wa Tanzania hata kitabu cha ma icon kilicho zinduliwa cku ya muungano diamond yupo n marehemu kanumba ampumzike kwa amani ila nashaangaa king hakuwekwa
Alienda kwenye utumbuizaji wa miaka 38 ya ccm na hiyo ilikua shukrani yao kwake, tafadhali nielewe hapo, nataka twende taratibu sana hiyo sitapenda tuizungumzie, kama unataka kuzungumza tuzo tuache habari za siasa nakuomba tuanze na hizi nominations za mwaka huu halafu turudi nyuma taratibu mwaka mmoja baada ya mwingine, tafadhali pia ondoa mawazo ya chuki kwa maana sio jambo jema kumchukia mtu bila sababu
 
Diamond ana tuzo 15 za Kili awards, tuzo 8 za nje ya nchi Ali kiba na uhakika hata 7 za Kili hana leteni ushaidi

Naomba tafadhali nitajie tuzo za diamond zote 15, tuanzie hapo halafu jiandae kutaja zingine anza hizo kwanza
 
Jamani hawa twende nao taratibu tu wataelewa nimegundua kosa sio lao kosa ni la erick shigongo, mimi nataka tuwasaidie
Hapa ni thread ya binadamu wanaofahamu nini wanashabikia, hawafuati upepo, kama wataishiwa bando jamani tuwape pia ili tu waujue ukweli kwa maana wako vifungoni na ukweli utawaweka huru , jamani hawa ni ndugu zetu pia,
 
Back
Top Bottom