Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Na hapo ndo walipochemka yani Mpaka uwe na account fb na tweeter watu wengi hawana hizo accounts wamechemsha mno kwa hilo next year waweke njia ya kupiga online ka tuzo za watu.

Kwakweli aisee kama mimi sina hizo ac kabisa
 
Uzi umefungwa au umekufa? Hahahahaa watu kuiga iga tu ona sasa hadi wanakuja kujiaibisha huku!
Sisi huku tumejipanga na tunajua tunachokifanya tofauti na wenzetu wanaogombana na kuchambana hadharani...lol

Uzi wao haujafungwa basi tu watu wanaoshindwa kwenye maisha huwa wanatafta cha kusingizia kuwashusha badala ya kujirekebisha walipokosea.

Hafu wana hangaika na kiba badala ya mtu wao kutukana wao kwa wao kisa hawataki kutofautiana nao hadi aibu.
 
Uzi wao haujafungwa basi tu watu wanaoshindwa kwenye maisha huwa wanatafta cha kusingizia kuwashusha badala ya kujirekebisha walipokosea.

Hafu wana hangaika na kiba badala ya mtu wao kutukana wao kwa wao kisa hawataki kutofautiana nao hadi aibu.

Wanapigana na wrong enemy bila kujitambua, kiba kawafanya nn labda?
 
Wanapigana na wrong enemy bila kujitambua, kiba kawafanya nn labda?

Kiba baada ya kuanza kuimba tena wakaanza kumshambulia Mara anataka kumshusha mtu wao kisa yuko on top. Ndo nikaona kwahyo hawataki wengine waimbe mziki na akiimba anatumiwa, wamemtukana Kiba Mara anazaa hovyo maneno mengi kisa kaanza kuimba.

Na wanachokosea sijui ni kupanic kuhangaika na kiba na kujiona best hata akifanya ujinga domo hamwambii wanasema ni wivu anataka kushushwa.

Mda ufike waachane na kiba na domo a focus kwenye mziki kama kupanda alipanda na kushuka ajiandae tu huwa ni kawaida duniani kote asitafte mchawi wala timu yake kumshambulia Kiba maana haisaidii ajiandae kisaikolojia kwa lolote linalotokea maishaini na waache Ku fight wrong battle. Matendo ya msanii tabia yake na kauli mbovu ndo huwashusha wengi tu na mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe.
 
Wakati sasa hiv halaliii..kutafuta tuzooo...anatumia slope za dai..
Paka wema na jikte wamsaidieee...kweli hii ni aibu aibuuuuuuuu....

Asubir siku zari akiachika atampigia promooooo

Wema ni raia kama walivyo raia wengine.....na kwa kufanya vile anafuata haki yake kama ambavo mi na wewe tunafollow our choices.
Mlitaka Wema ampigie nani?
Ili muone kuwa ni sahihi?
Kwa suala la Wema funga mdomo maana ntakupasuaaa!!!

Alafu we dogo bhana...you are so funny!
Mara slope ya dai, mara amsubiri Zari, yote hayo ya nini?
Unajifanya hujui kuwa mashabiki wa kiba tupo tangu enzi na enzi?

Wangapi wamekuwa/kuchongewa bifu na dai lakini mpaka leo bado wanambwela tu?!! Kama issue ni kusafiria slope yake!

King ataendelea kuwepo miaka yote maana yule ndo fundi
 
Kiba baada ya kuanza kuimba tena wakaanza kumshambulia Mara anataka kumshusha mtu wao kisa yuko on top. Ndo nikaona kwahyo hawataki wengine waimbe mziki na akiimba anatumiwa, wamemtukana Kiba Mara anazaa hovyo maneno mengi kisa kaanza kuimba.

Na wanachokosea sijui ni kupanic kuhangaika na kiba na kujiona best hata akifanya ujinga domo hamwambii wanasema ni wivu anataka kushushwa.

Mda ufike waachane na kiba na domo a focus kwenye mziki kama kupanda alipanda na kushuka ajiandae tu huwa ni kawaida duniani kote asitafte mchawi wala timu yake kumshambulia Kiba maana haisaidii ajiandae kisaikolojia kwa lolote linalotokea maishaini na waache Ku fight wrong battle. Matendo ya msanii tabia yake na kauli mbovu ndo huwashusha wengi tu na mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe.

Akili za kitoto haswaaaaaa!! Kwahiyo hawataki msanii mwingine awe juu ili? Uchawi tu na roho mbaya zao, iliandikwa wapi kuwa chai jaba pekee ndio awe juu kwamba akiinuka mwingine dhambi? He was there b4 him and he ll always be Kibaaaaaaaa

Kiba yo the best and they have proved it with how you make them suffer.
 
Mimi hii njia ilinishinda kitambo maana nilitumia fb a/c yangu ila nashangaa kila nikijaribu wananiambia PHP Error was Encountered!

Hayo maneno yanatokea ila baadae inaendelea kuload kama kawaida hadi inafikia mahali pa kuvote.

Mi mwenyewe mwanzoni ilinisumbua nikajua mtandao umezingua au nimekosea kumbe sio ila kuna muda nikajaribu tena yakatokea ila sikukata nikaiacha....ikastuck na hayo maneno kwa muda kidogo then ikaload kawaida tu ikaniletea options nikaclick sehemu ya PIGA KURA.
Ni rahisi sema ukipiga mara moja ndo basi
 
Hayo maneno yanatokea ila baadae inaendelea kuload kama kawaida hadi inafikia mahali pa kuvote.

Mi mwenyewe mwanzoni ilinisumbua nikajua mtandao umezingua au nimekosea kumbe sio ila kuna muda nikajaribu tena yakatokea ila sikukata nikaiacha....ikastuck na hayo maneno kwa muda kidogo then ikaload kawaida tu ikaniletea options nikaclick sehemu ya PIGA KURA.
Ni rahisi sema ukipiga mara moja ndo basi

Mhhhh! Mimi inavyonisumbua sasa...ngoja nijaribu kuvumilia walau dakika 5 isipoload basi tena nanawa mikono napiga kwa sms tu maana WhatsApp nako ukipiga mara moja ndio basi.
 
Akili za kitoto haswaaaaaa!! Kwahiyo hawataki msanii mwingine awe juu ili? Uchawi tu na roho mbaya zao, iliandikwa wapi kuwa chai jaba pekee ndio awe juu kwamba akiinuka mwingine dhambi? He was there b4 him and he ll always be Kibaaaaaaaa

Kiba yo the best and they have proved it with how you make them suffer.

Hahaaaaa haloooo ya chai jaba umenikumbusha lile tangazo.
Ndo wanaponishangaza, hawataki wengine wa shine kwenye music hafu wamesahau kua Kiba alikuepo kabla hata ya ndomo roho mbaya zinawasumbua tu. Mi sioni tatizo kuwa na wanamziki wengi wazuri tu na wanamchqganya dai kuwa yeye ni top hakuna ka yeye sasa akiona wengine ana paniki na kuona anaonewa, Mara chuki Mara kushushwa.
 
Hahaaaaa haloooo ya chai jaba umenikumbusha lile tangazo.
Ndo wanaponishangaza, hawataki wengine wa shine kwenye music hafu wamesahau kua Kiba alikuepo kabla hata ya ndomo roho mbaya zinawasumbua tu. Mi sioni tatizo kuwa na wanamziki wengi wazuri tu na wanamchqganya dai kuwa yeye ni top hakuna ka yeye sasa akiona wengine ana paniki na kuona anaonewa, Mara chuki Mara kushushwa.

Kujistukia tu seeking public sympathy, ati wakimuandama kiba ni heri ila akisemwa domo mtakatifu baasi watu wanahorojokaaa! Kwani mbona Kiba wa watu hawakauki midomoni??? Kwani kawazuilia lipi? Akili za viroba hizi jamani!!!
 
Mhhhh! Mimi inavyonisumbua sasa...ngoja nijaribu kuvumilia walau dakika 5 isipoload basi tena nanawa mikono napiga kwa sms tu maana WhatsApp nako ukipiga mara moja ndio basi.

Sio mbaya as long as una alternative way ya kuvote. Mi vilinigomea kwa sms na whatsapp ndo maana nikakomaa online.
 
Ali lazima awakimbize...kwa ile "HIT&HOT SONG YA MWANA" si ya kuchezea yaani hatareee!!!,jamani naomba mnipe full details na njia zote za kumpigia Kiba kura za KTMA na TUZO ZA WATU,"Kiba 4rever fan here"...nafikiri ni vizuri watu waelewe baada ya kimya cha muda cha King sasa amerudi kuzizoa izo tuzo zao...truth noted!!!
 
Wakati sasa hiv halaliii..kutafuta tuzooo...anatumia slope za dai..
Paka wema na jikte wamsaidieee...kweli hii ni aibu aibuuuuuuuu....

Asubir siku zari akiachika atampigia promooooo

Mwenye macho haambiwi tazama...lakini sio kila mwenye macho anaona..... pole sana zimebaki siku saba sijui sitta mambo yatakuwa wazi
 
Uzi umefungwa au umekufa? Hahahahaa watu kuiga iga tu ona sasa hadi wanakuja kujiaibisha huku!
Sisi huku tumejipanga na tunajua tunachokifanya tofauti na wenzetu wanaogombana na kuchambana hadharani...lol

Baelezee.......
 
Ali lazima awakimbize...kwa ile "HIT&HOT SONG YA MWANA" si ya kuchezea yaani hatareee!!!,jamani naomba mnipe full details na njia zote za kumpigia Kiba kura za KTMA na TUZO ZA WATU,"Kiba 4rever fan here"...nafikiri ni vizuri watu waelewe baada ya kimya cha muda cha King sasa amerudi kuzizoa izo tuzo zao...truth noted!!!

Asante sana.Ngoja nikuelekeze jinsi ya kuvote
1.Tuzo za watu ingia hapa
↓↓
www.tuzozetu.com
2.Kill music awards
↓↓
www.ktma.com japo inazingua kidogo wanataka upige kura kwa kutumia a/c za twitter au fb.
Pia kuna njia ya sms ngoja nitarudi kukuelekeza vizuri.
 
Jioni njema frnds
 

Attachments

  • 1431703611963.jpg
    1431703611963.jpg
    34.8 KB · Views: 60
Ijumaa karim
 

Attachments

  • 1431703777677.jpg
    1431703777677.jpg
    34.6 KB · Views: 61
Matola naomba ututolee hili bwabwa hapa maana tunakumiss sana wewe ndio unawawezeaga hawa wajinga wajinga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom