Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwenye interview aliifanya Leo Ali kiba e.FM n gadner anipe ripoti plz au mlikuwa hamjui alikuwa ana interview
 
Sio umaku c useme alichosema me nilikuwa chuo au ujackiliza halafu una jiita shabiki wa kiba

Kumbe ni kamwanafunzi wew...ndo maana UN ofer zinakupa wenge...
Alisema ivi....yeye ndo mfalme tz na nje ya nchi afu ushindi kwake n lazma...sasa nyie ma maku na wangese mjiandae kurwafi na mashetani maana mnawashwa minduku sana sana wew chakubimbi
Nazani umeelewa
 
Kumbe ni kamwanafunzi wew...ndo maana UN ofer zinakupa wenge...
Alisema ivi....yeye ndo mfalme tz na nje ya nchi afu ushindi kwake n lazma...sasa nyie ma maku na wangese mjiandae kurwafi na mashetani maana mnawashwa minduku sana sana wew chakubimbi
Nazani umeelewa

Me n mwanachuo c mwanafunzi vp video ya chekechua chekecha n collabo za wasanii wa nje
 
Mimi tokea jana sina hamu nao hawa.Halahala tu na ma baby zetu jamani!

Saivi dawa ni kutokumjibu.. au tumwambie alieanzisha huu uzi amweke kwenye ignore list maana sasa kana kera na mipicha yake ya wanyama pori
 
Back
Top Bottom