Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!

Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion

Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!

unaongea kwa facts mpaka unaboa
ujue hawa viwavi jeshi wanasumbua
 
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.

Jibu swali ww mwenye phd basi kiba ana tuzo ngapi za international
 
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.

Ivi nifah huyu mshamba ni me au ke?
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.

Masikini akipata makalio hulia mbwata!!! Yaani huyu boya sijui kala maharage ya wapi?
 
Wew una shida gani na humu ndani? Unatafuta wanaume au?

Muhurumieni tu huyu, walaa hajui alitendalo, ndio kwanzaaa kavunja ungo, chezea bleed ya kwanza wewe!!! Hebu huo upuuzi wake aupeleke kwa viazi wenzie hukoooo!
 
Muhurumieni tu huyu, walaa hajui alitendalo, ndio kwanzaaa kavunja ungo, chezea bleed ya kwanza wewe!!! Hebu huo upuuzi wake aupeleke kwa viazi wenzie hukoooo!

Kumbe ndo blid ya kwanza awe makini asije akabeba mimba maana inaonekana anawashwa sana na kisi.mi
 
Kwa kuwasaidia hana tuzo yoyote ya njee maanan mnaona aibu kujibu pyeeeeeeeeeee
 
Maumivu yakizidi kamuone daktari hapo Chanel o yeye n Casper nyovest toka south Africa waliogoza kwa tuzo tuzo 3 3 walichukua wote
 

Attachments

  • 1431531246215.jpg
    1431531246215.jpg
    27.7 KB · Views: 75
Hahahaaaaaa!!a you made my day, chai jaba anamuogopa sn domo wallah! Mara ngapi anapanda jukwaani na wasanii wengine ila walaaa hapanik, ila na kiba sasa ni kizungumkuti, moja haimkai mbili inapotea, and yet wanajifanya kumdiss kiba, weweweeeee this shows how much he ruins him.

King hoyeeeeeeeee

Heheeee hawa madogo inabidi watulie.
Wao wataendelea kupewa lift tu ila honi hawapigi ng'ooo!!! Hiyo ni ya driver cum the owner himself!
 
Wallah Avemaria nazidi kukupenda wewe mdada.Ulichokiongea kuhusu Nick Minaj ni ukweli mtupu.
Eve na Miss Elliott mbali...Iggy Azalea tu anampa pressure sasa hivi!
The rest. ....umemaliza yote.Nikisema chochote nitaharibu.Tungoje collaboration na p2 tuzidi kucheka sie.

Asante mdogo wangu.

Watu wanashabikia muziki kwa style ya bendera fuata upepo utakapoelekea na wao wanafuata.
No wonder sasa hivi wanashabikia tuzo!!!
Nikiwa kama mdau wa muziki the only thing chenye naweza fanya ni kumpongeza Mondi kwa kupata tu ule ujiko lakini kusema kwamba eti ni mwanamuziki mzuri zaidi ya Kiba.....hapana aiseee kwa King atasubiri sana!
 
Last edited by a moderator:
Asante mdogo wangu.

Watu wanashabikia muziki kwa style ya bendera fuata upepo utakapoelekea na wao wanafuata.
No wonder sasa hivi wanashabikia tuzo!!!
Nikiwa kama mdau wa muziki the only thing chenye naweza fanya ni kumpongeza Mondi kwa kupata tu ule ujiko lakini kusema kwamba eti ni mwanamuziki mzuri zaidi ya Kiba.....hapana aiseee kwa King atasubiri sana!

kiba miaka dollariiii $
 
Back
Top Bottom