Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tokea juzi najionea maajabu huku JF.Midume mizima bila aibu inakaa inashangilia nyumba ya mwanaume mwenzao ambayo hawajui kaipataje.Ni mwendawazimu pekee atakayeamini kua nyumba zile zinatokana na mapato yake kimuziki.
Mwanaume unakaa kushangilia nyumba ya mwanaume mwenzio? Bora kusifia kidogo inaleta maana.
This is shame!

nifah mimi nadhani wanampa changamoto tu kwamba star kama yeye anatakiwa kutengeneza vitu vyenye viwango.
 
Mwenzake kaonyesha bafu la magold na flat screen ndani, mwambieni king naye tuone lake

Fanya udadisi ujue watu wa karibu wa king kiba hapa mjini ni kina nani ndo utajua kwanini yupo vile alivyo. ..halafu jiulize mbona game aliipa mgongo lakini hakuchoka. ..hao wasanii uwajuao wajipe break au wakose show uone balaa lake. ..
 
atoto mpenzi, I miss you.Please come this way.
 
Last edited by a moderator:
aaah wapi kabla ya hapo nilishamfumania MMU anachepuka

Uwiiiiii! Kwahiyo kuchepuka kwenu sio kosa eeh?
Ila bora wewe umechepuka ndotoni...lol atoto akija nitakoma!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom