matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,958
dah matumbo yani amekerekwa mpaka anatia huruma
achana nao vishtobe walee
Sijakerwa wala haitatokea nikakerwa kwa jambo la heri kama msanii wa Tanzania kupata collabo na msanii 1st class duniani level ya chris brown...Nilichokuwa nasimamia ni ukweli tu, kwamba hakuna kolabo ya Kiba na Breeze. Huu ni uongo wa mchana ila kama inawapa faraja kuusikia huo uongo aina shida muendelee tu kupiga soga. Lakini ukweli nimeshausema, hakuna na haitatokea kwa sasa hivi sio rahisi kama mnavyodanganywa inabidi uwe na profile haswa kitu ambacho kibongobongo bado labda mwenye bongofleva yake kidogo.