Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Sio wana tabia mbaya, sema ana tabia mbaya manake nimeomba kwa mmoja tena wala haya haoni!!!!
Naani huyo! Ana tabia mbaya sana....tumchape
Sio wana tabia mbaya, sema ana tabia mbaya manake nimeomba kwa mmoja tena wala haya haoni!!!!
Hahahahaaa huyo rafiki ni Ms.Lincoln....
Kama kusutwa nisutwe tu lakini ndio nimeshasema.
sawa shemej, nitaweka stamp kabisa pamoja na bahasha ya khaki!!!!!!!weka stamp!!! maneno matupu hayavunji mifupa!!
teh teh teh! afu ama kweli usiposhangaa ya mussa utashangaa ya firauni! wewe umesema shame on her, huyo rafiki angu wa kalamu nami nikaweka msisitizo kwa rangi nyekundu iliyo bold kwamba shame on her plus plus! matokeo yake anakuja Ms.Lincoln anaanza kuona aibu yeye, msikie:na uione aibu kubwa kuwasingizia wenzio nifah umemuona huyu!!!
mimi na wewe shemeji yangu atoto tunasema shame on her huyo rafiki wa kalamu ambae wala cjamtaja. inakuaje tena huyu shost aibu anaona yeye????!!!!Haaaa! Aibu naona mie...shame on her!
sawa shemej, nitaweka stamp kabisa pamoja na bahasha ya khaki!!!!!!!
teh teh teh! afu ama kweli usiposhangaa ya mussa utashangaa ya firauni! wewe umesema shame on her, huyo rafiki angu wa kalamu nami nikaweka msisitizo kwa rangi nyekundu iliyo bold kwamba shame on her plus plus! matokeo yake anakuja Ms.Lincoln anaanza kuona aibu yeye, msikie:mimi na wewe shemeji yangu atoto tunasema shame on her huyo rafiki wa kalamu ambae wala cjamtaja. inakuaje tena huyu shost aibu anaona yeye????!!!!
nimeipenda sana hii ngoma kuliko ilivyo kawaida. unajua kwa kuwa hizi siku mbili tatu nilikuwa tight sana wala sikufahamu kwamba kuna mzigo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nishai-download kabisa na kuiweka kwenye playlist yangu ndani ya techno.
Tobaaaaaaaaah! nishaghairi manake kuna uwezekano wa hapo kwenye nyekundu. nishaghairi, endeleeni wenyewe nami nishaghairi na mpango wenyewe wa kutaka urafiki wa kalamusafi sana urahisishe majibu, ila hata ikitumiwa kujibia mwenzio ujikaze tu ndio uanaume huo, humo weka mistari ya muke ya dunia nakwambia hachomoi
nimeipenda sana hii ngoma kuliko ilivyo kawaida. unajua kwa kuwa hizi siku mbili tatu nilikuwa tight sana wala sikufahamu kwamba kuna mzigo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nishai-download kabisa na kuiweka kwenye playlist yangu ndani ya techno.
umeona enhhapana chezea fundi hata kidogo
nimeipenda sana hii ngoma kuliko ilivyo kawaida. unajua kwa kuwa hizi siku mbili tatu nilikuwa tight sana wala sikufahamu kwamba kuna mzigo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nishai-download kabisa na kuiweka kwenye playlist yangu ndani ya techno.
Tobaaaaaaaaah! nishaghairi manake kuna uwezekano wa hapo kwenye nyekundu. nishaghairi, endeleeni wenyewe nami nishaghairi na mpango wenyewe wa kutaka urafiki wa kalamu
Du, kweli Ally Kiba nyoko .Uzi unapaa kwa spidi ya roketi.
kuimba mbele za watu naona aibu lakini nipo tayari kukuimbia wakati tupo wawili tu, basi. tena nikuambie, nikiwa room sauti yangu ndo inatoka vizuri sana.Etiii....niimbie bathiii....
kunguru mjanja (muoga?) huepusha bawa lake!!!!!Alaa...una roho nyepesi kama ya karatasii...!
upoo?wangu