Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
Hahahahaaa,wewe mzembe basi.Watu wote waliojaa humu umeshindwa kumpata hata mmoja?Labda kama haukudhamiria ukichokua unakisema.
Last edited by a moderator:
mmeskia wachawi wa mtaa wa pili?
nimefurahi kwamba upo poa. sionekani ndo vile tena pilika manake sie wengine ukiumwa siku moja tu siku ya pili hata hela ya maandazi itabid ukamwangukie mwenyekiti wa kitongoji.
unacheka kama mazuri vileee!Hahahahaaaaa...dah
dhamira iko pale pale sema unatuma maomb ya urafiki wa kalamu unaona kimya sasa hapo unapata hisia kwamba labda rafiki mtarajiwa amekosa stamps kwa ajili ya kurudisha majibu. sasa kudhihirishia kwamba nimedhamiria, sasa nitakuwa naweka na stamp kabisa kwenye bahasha!!!!!!Hahahahaaa,wewe mzembe basi.Watu wote waliojaa humu umeshindwa kumpata hata mmoja?Labda kama haukudhamiria ukichokua unakisema.
mmeskia wachawi wa mtaa wa pili?
Nimewasikia tena kuna wachawi wawili wamenichokoza ngoja nikawape vyao.
Aisee Duniani kuna haters lol
dhamira iko pale pale sema unatuma maomb ya urafiki wa kalamu unaona kimya sasa hapo unapata hisia kwamba labda rafiki mtarajiwa amekosa stamps kwa ajili ya kurudisha majibu. sasa kudhihirishia kwamba nimedhamiria, sasa nitakuwa naweka na stamp kabisa kwenye bahasha!!!!!!
Sio wana tabia mbaya, sema ana tabia mbaya manake nimeomba kwa mmoja tena wala haya haoni!!!!Umewaomba wangapi? Wanatabia mbayaaa
Sio wana tabia mbaya, sema ana tabia mbaya manake nimeomba kwa mmoja tena wala haya haoni!!!!
Hahahahaaa huyo rafiki ni Ms.Lincoln....
Kama kusutwa nisutwe tu lakini ndio nimeshasema.
Yaani mjue hata sifahamu nini kinaendelea duniani manake haya maisha haya, yatatutia uchizi muda si mrefu. Ms.Lincoln, hiyo ngoma kali ni ipi? Hebu niwekee link basi mara moja.
na kweli utasutwa na hivi huku mwananyamala hatujaacha jadi ya kusutana kwa vigoma ndo lazima utafute mlango wa kutokea.Hahahahaaa huyo rafiki ni Ms.Lincoln....
Kama kusutwa nisutwe tu lakini ndio nimeshasema.
Sio wana tabia mbaya, sema ana tabia mbaya manake nimeomba kwa mmoja tena wala haya haoni!!!!
tena afadhali. tena angejua kwamba kwamba mjomba kondo ndie mpiga vigoma vya kusutia wala asingejingiza kwenye huo msala.mie thithemi ili niwe mmoja wa watakaokusuta, teh teh
nami naongeza kwa msisitizo shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her!lakini atoto usisahau kutusaidia kumwendea huyu nifah na vigoma vya kumsuta.kama anapita hapa nami narudia shame on her
hhhhhhaaaaaaahhh
hhhhhhhhaaaaaa