Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

nami naongeza kwa msisitizo shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her!lakini atoto usisahau kutusaidia kumwendea huyu nifah na vigoma vya kumsuta.


ninavyokapenda sasa sijui nitaweza!!! hbu ngoja ngoja kwanza nijaribu zoezi, maana naweza jikuta nimejiunga nae
 
Hahahahaaa kumbe ni kweli eeh?Maana nimesema najiandaa kusutwa naona nimeshaanza kusutwa kabisa na kigoma kinapaswa moto na Athen....
But..... siamini kama mpenzi wangu atoto atanisuta kisa nimesema ukweli...
C'mon dear.
 
Last edited by a moderator:
nami naongeza kwa msisitizo shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her! shame on her!lakini atoto usisahau kutusaidia kumwendea huyu nifah na vigoma vya kumsuta.

Jipange mjomba maana unaweza kukimbia na kigoma chako hiko ukakiacha kabisa....ohoooo
 
Jipange mjomba maana unaweza kukimbia na kigoma chako hiko ukakiacha kabisa....ohoooo
thubutu yako! hivi unavifahamu vigoma vya mwananyamala au unafanya kuvisikia tu? kwanza watu wanakuja kufanya tathimin hapo kwenu, wakijua nyumba yenu ipo kwenye kona basi zinakuja timu tatu zinafunga barabara na vigoma vyao ili usipate kwa kukimbilia!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahahaaa kumbe ni kweli eeh?Maana nimesema najiandaa kusutwa naona nimeshaanza kusutwa kabisa na kigoma kinapaswa moto na Athen....
But..... siamini kama mpenzi wangu atoto atanisuta kisa nimesema ukweli...
C'mon dear.

si ndio nikajistukia sasa naanzia wapi kwa mfano!!! Athen bwana nae kama samaki mdomo umejaa maji alafu anataka atusute bada akusanye nguvu ampate binti!!! tena kariri kabisaa mashairi ya wife wa dunia yatakufaa
 
Last edited by a moderator:
thubutu yako! hivi unavifahamu vigoma vya mwananyamala au unafanya kuvisikia tu? kwanza watu wanakuja kufanya tathimin hapo kwenu, wakijua nyumba yenu ipo kwenye kona basi zinakuja timu tatu zinafunga barabara na vigoma vyao ili usipate kwa kukimbilia!!!!!!!!!!!!!!!!!!

duuuuh!!! yaani maandalizi yote hayo tumekaa tu tunawasubiri!!!
 
Hahahahaaa kumbe ni kweli eeh?Maana nimesema najiandaa kusutwa naona nimeshaanza kusutwa kabisa na kigoma kinapaswa moto na Athen....
But..... siamini kama mpenzi wangu atoto atanisuta kisa nimesema ukweli...
C'mon dear.
sio kweli wala nini. in short ni kwamba ni umebugi ukifika wakati nitatoa ze tamkoz.
 
sio kweli wala nini. in short ni kwamba ni umebugi ukifika wakati nitatoa ze tamkoz.

wewe badala ufanye maandalizi ya kumnasa wife wa dunia umekazana kutaka kutusuta, shaurio hizo nguvu zihamishie kuleeee la sivyo matamko utaishia kuyasikia kwa mdakuzi na viol tu!! teh
 
si ndio nikajistukia sasa naanzia wapi kwa mfano!!! Athen bwana nae kama samaki mdomo umejaa maji alafu anataka atusute bada akusanye nguvu ampate binti!!! tena kariri kabisaa mashairi ya wife wa dunia yatakufaa
mdomo haujaa maji sema mdomo wangu hauwezi kudanganya ua labda nina sound za kizamani manake huyo mtu nimemwambia kabisa kwamba nataka uwe rafiki yangu wa kalamu, eti wa kufa na kuzikana. au nimekosea hizo sound?
 
wewe badala ufanye maandalizi ya kumnasa wife wa dunia umekazana kutaka kutusuta, shaurio hizo nguvu zihamishie kuleeee la sivyo matamko utaishia kuyasikia kwa mdakuzi na viol tu!! teh
teh teh teh, haya bwana, ndo maana hata kutokea huku natokeaga kwa minyato kuangalia ikiwa box number yangu imeingia barua kutoka kwa rafiki angu wa kalamu. hata hivo ngoja nianze mazoezi upya.
 
mdomo haujaa maji sema mdomo wangu hauwezi kudanganya ua labda nina sound za kizamani manake huyo mtu nimemwambia kabisa kwamba nataka uwe rafiki yangu wa kalamu, eti wa kufa na kuzikana. au nimekosea hizo sound?

kwakweli umepatia kabisaaaaa, nyie kufeni tu mzikane ila hapa nyumbani mtokee.
 
teh teh teh, haya bwana, ndo maana hata kutokea huku natokeaga kwa minyato kuangalia ikiwa box number yangu imeingia barua kutoka kwa rafiki angu wa kalamu. hata hivo ngoja nianze mazoezi upya.

weka stamp!!! maneno matupu hayavunji mifupa!!
 
Back
Top Bottom