Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kabisa wangu. Tulishachoka, kila wimbo mpya ilikuwa ni vigodoro tu, hadi Msaga Sumu naye akaonekana bonge la msanii.
Ova

you cant emagine huyu mtu namsikiaga tu humu jf hata cmjui na cjawahi sikiza wimbo wake!
 
Kwani alikuwa wapi???ICU au???

Wenye akili na uhakika wa maisha huwa na kawaida ya kupumzika, inaitwa likizo. Alikuwa amejipa likizo ya miaka mitatu.
Ni kawaida kwa wanamuziki wa ukweli, kwa sababu wanaamini akirudi wakati wowote atakimbiza tu kama kawaida.
Lakini wasanii wa vipaji vya kupepea wakithubutu kujipa likizo kwa kutotoa wimbo mpya hata miezi mitatu tu ndo hawarudi tena.
Ndio maana Kiba anaitwa Mfalme kwa maana ya kwamba yeye ni mtawala kwenye muziki hadi atakapokufa.
Ova
 
Wenye akili na uhakika wa maisha huwa na kawaida ya kupumzika, inaitwa likizo. Alikuwa amejipa likizo ya miaka mitatu.
Ni kawaida kwa wanamuziki wa ukweli, kwa sababu wanaamini akirudi wakati wowote atakimbiza tu kama kawaida.
Lakini wasanii wa vipaji vya kupepea wakithubutu kujipa likizo kwa kutotoa wimbo mpya hata miezi mitatu tu ndo hawarudi tena.
Ndio maana Kiba anaitwa Mfalme kwa maana ya kwamba yeye ni mtawala kwenye muziki hadi atakapokufa.
Ova

uaona sasa! we nifah usiwe unamficha huyu mtu hivyo, tunakuwa tunamiss sana vitu vya uhakika kama hivi, vigodoro tupa kule, alaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Nyongeza....
Ni mfalme wa kwenye vigodoro.
Mojawapo ya vibwagizo vyake maarufu ni...naipenda Yanga shabiki wa damu...Simba shabiki wa damu.
Hope atoto umeelewa sasa.

mmmmh!! hata hicho kibwagizo ndio nimekisikia kwako! teh
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiii!Pole atoto.Japo mimi sijawahi kwenda kwenye vigodoro lakini namjua.
Kwani hukuangalia ile fiesta ya leaders ile siku?Mbona alikuwepo?

niliangalia ila project ilinifanya nikachelewa kuiangalia so wengi walotumbuiza mwanzo sikuwaona, na show zenyewe nakumbuka moja tu teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom