Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

uwii ataanzia wapi kwamfano!! yeye mwenyewe analijua hilo, hebu nipe feedbak mke ya dunia inaendeleaje? au bado kimaso maso imekukolea??

Hahahaaaa ndio maana nakukimbia ujue?Honestly... bado mwaya ila nitajitahidi next time nitatiririka tu tena bila hata ya kuulizwa!
 
Nipo poa mkuu

Naburudika na ngoma za king tu uku tukipishana

Kama dawa, ukiwa shabiki wa muziki mzuri ni lazima ukae kwa King Kiba. Ndio maana watu walikuwa wanadai tu arudi coz tulikuwa tunakosa muziki mzuri.
Ova
 
kha kha kha khaaa!! mtoto muongo wewe! ushinde nae pm alafu bado ummiss!!

Hahahaaa aisee....wewe atoto si unasemaga hupendi umbea wewe?
Nimemmiss sana hapa jukwaani.
Nikiiona ID na comments zake hapa nasinzia u know....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom