tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Wife wa dunia...
Kumbe?mimi sina hata habari!
Haya ngoja niusikilize nitakupa feedback muda si mrefu dear.
unanoga zaidi kwa ear phone, jipe raha
Wife wa dunia...
unanoga zaidi kwa ear phone, jipe raha
Raha nimeshajipa ndio nimerudi hivi...Bongez la ngoma yaani subiri baadaye kidogo nitaurudia nikiwa nimetuliza kichwa...lol
uache uzembe sasa!
Aisee wimbo wa kimasomaso mzuri sana.Hua najenga picha ndio ningekua mimi nimeimbiwa vile....
Uwiiiiii ningefurahi sana!
Aisee mzuri sana.Dah,Kiba fundi kwelikweli.
Habari yenu familia King....
.Teh Teh
Raha nimeshajipa ndio nimerudi hivi...Bongez la ngoma yaani subiri baadaye kidogo nitaurudia nikiwa nimetuliza kichwa...lol
mie jana nimeusikiliza mpaka nikasinzia
Hahahaaa,sina haraka bibie....
Wakati wowote nikitaka nitafundishwa tu...
Teh..
Uzuri anao na sura naitangaza hii leo...
Waache waje wanafiki leo mtajioneaa...
Anayejua anajua tu!!
Toka asubuhi naisikiliza...wife wa dunia imenigusa siyo kidogo!!
mtani hicho kicheko hapo mwisho cha nn?
mwanzo nilikuonaa, sijui nilikuona na nanii eee,kwani najitaihidi niwe na weweee yaaweee,
kama ni ujanja mwenyewe wajua mi sinaaa
wololowololo........
nakupenda weweeee, nakuhikiria weeweeee....
duuh hapana chezea wife wa dunia
Toka asubuhi naisikiliza...wife wa dunia imenigusa siyo kidogo!!
walaa hauchoshi, kweli inajulikana tu fundi na kibarua nani!! teh teh teh
Yalosemwa jana yamejirudia yayaaaaa...
Unalia nini mwenzako nshajenga nyumba,ya kuishi sisi wawili tujenge tuwe na family....
Waache wayaseme wewe leo uko na mimi,na tule hizi raha tusahau ya duniani...
Aisee huu wimbo ni kiboko!Naupenda mpaka basi,hapa tu nausikiliza.....
Thanks King Kiba.